Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba msaada kwa yeyote. External Hard Disk yangu nili iprotect kwa kutumia Bitlocker. Nimesahau password na kwa bahati mbaya hata recovery key nimesahau niliko save. Naomba msaada kwa yeyote...
0 Reactions
3 Replies
729 Views
Wakuu habari za mida hii,nahitaji kufunga WiFi kwa eneo lipatalo kama square mita kama 110 hivi nitumie mechanism gani ili eneo lote liweze kuwa na WiFi au ni device gani inaweza kuwa na nguvu ya...
0 Reactions
3 Replies
987 Views
Kulingana na Tcra, Tanzania ina watumiaji mtandao (internet) million 17.3 kwa namba hzo hili ni soko kubwa sana. Swali langu kwa wataalam kwenye sekta hii haswa wale wanaojihusisha na apps and...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada kwa ambae anaujuzi huo anisaidie njia nyepesi ya kutengeneza mashine ya kutotolesha mayai ya kuku inayo tumia mafuta ya taa au vifaa vinavyo tumika kutengeneza mashine hiyo
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wanaJF Kwa bahati mbaya nimefuta Chanel zote za tanzania kwenye Receiver yangu hivyo sipati tena chanel za hapa nchini, hivyo basi naomba msaada kwa mtu mwenye frequency za ITV, TBC...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wadau naomba msaada kama kuna program yeyote inayoweza kukuonyesha simu ulizopigiwa wakati simu iko chaji na umeizima.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuuuu naomben muhongozo jinsi ya verify instagram acount au facebook iwe a ticck ya blue je nipitie njia gan
0 Reactions
4 Replies
936 Views
Naomba mnisaidie jinsi ya kuseti notification ya watsap kwenye tecno cx ionekane kama zingine maana inaonyesha vidoti tu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam Wana JF! Kwa wale wenye uelewa wa hizi mita za umeme za kisasa zinazofungwa juu ya nguzo - jinsi zinavyofanya kazi. Mita hizi zinafungwa juu ya nguzo za umeme na keypad unakuwa nayo ndani...
0 Reactions
43 Replies
24K Views
Wakuu nana samsung galaxy note 1 ( gt n7000) gafla tu haisomi laini wala network haipandi nikaja kucheki haya IMEI NUMBER haisomi pia naombeni msaada kwa atakae weza pesa ipo.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Msaada jinsi ya kubadili lugha kwenye modem.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa habarini za jioni. Wapendwa nina interest sana na kujua kompyuta hasa hardware na software, yaani ninapenda kuwa expert kwa maana ya fundi wa kutengeneza kompyuta. Kwa wale...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman mbona mm cm yangu inachukua muda mwingi kujaa chaj kama maa8 nifanyeje ijae haraka
1 Reactions
56 Replies
13K Views
Za kazi wakuu, Nime-install Lineage 14.1( Nougat 7.1.1) kwenye Samsung S2, inafanya kazi vizuri, ila tatizo liko kwenye memory, OS imechukua karibu sehemu kubwa ya internal storage. Nimejaribu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kutembelea website ya ebay nikaipenda simu APPLE iphone 4s-16GB Verion ( Factory Unlocked) smart phone. This device is 100% fully functional having passed our industry leading inspection...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Maelezo yote yapo hapa, best of luck jamani. Link: Bots for Messenger Challenge For many years Facebook has been promoting innovation across the Middle East and Africa, providing startups with...
1 Reactions
1 Replies
610 Views
Naombeni msaada wa kununua simu mtandaoni kupitia mtandao wa Ebay, hatua za muhimu za kufuata pia hata kuitambua simu Ubora wake hata network yake, unaweza nunua halafu kufika TZ network locked.
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Salaam wana jukwaa. Nilipata taarifa flan kwamba kuna fundi anatengeneza inveter za kufua umeme wa AC kutoka DC at same time inatengengeneza DC ya kurudisha kwenye betri ilipotoa. Kumbuka hapo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu,naombeni msaada kwa anayejua.Simu yangu Internal memory ni 8GB. Nikijaribu kuinstall apps inanipa meseji kama hiyo hapo heading. Niliiroot lakini iligoma mpaka wa leo.Any update?
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi 1.Kuna muda...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom