Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naitumia sana internet ya Ofa Kabambe (Fantastic Offer) ya Airtel kwenye *150*60# option 6. Lakini kitu cha ajabu kabisa ni kwamba malipo ya kifurushi hiki hukatwa kwenye akaunti ya airtel money...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za Asubuhi wana JF natumaini wote mko salama, leo kwa mara ya Kwanza napenda Kutambulisha Kwenye Akaunti hii ya Tanzania Tech ambayo itakuwa ikitoa mafunzo na habari mbalimbali za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za asubuhi rafiki zangu. naombeni mnisaidie, mimi natumia email yenye domain ya gmail. mara nyingi natunza mafaili mbalimbali kwenye drive ya email. jana nimefungua ili kuangalia lakini...
0 Reactions
1 Replies
477 Views
Cm Yangu imeniletea hvo jamani naombeini msaada wenu chief mkwawa na wenginee
0 Reactions
11 Replies
881 Views
Msaada kwenye tuta wadau, Nimeshindwa kuweka google account au kuingia playstore baada ya kufanya factory setting kwenye simu ya android. Error ni " couldn't sign in - can't establish a reliable...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi! Kwa kutambua hili ni jukwaa husika, naomba watu waliokuwa wazoefu katika fani mbali mbali za kihandisi kutupatia shuhuda zao kuhusu fani walizosomea, na kukiri kuwa...
1 Reactions
2 Replies
711 Views
Naomba anayeweza kunisaidia kutoa pop up advert yaani yale matangazo ambayo yanajitokeza ghafla kwenye simu haswaa haya ya game lounge kupitia vodacom nimejaribu ku unsubscribe lakin...
0 Reactions
1 Replies
585 Views
Naomba kujua tatizo la pc yangu nikiinstall window 10 inaandika the version of this file is not compatible with the version of windows you're running.check your computer's system information to...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Msaada jinsi ya kuzipa PRODUCT KEYS kweny PC Natumia windows 8 sabab nashindwa tumia Microsoft Word bila kuingiza hizo keys
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Jetbrains PhpStorm 2017.1,2 licence key au torrent file anitupie hapa ntafurahi sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF habari. Naombeni msaada wa jinsi ya ku-download video kutoka dailmotion. Natanguliza shukurani zangu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba njia au program ambayo ina-hide app icons katika android smartphones na kuonekana kama iyo app haiexist
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni baada ya kuzunguka kariakoo mtaa wa agrey kuitafuta s8 na kuikosa nimepata wazo ninunue s7 naomba kwa mlio bahatika Au mungu kuwajalia kuimiliki naomba kujui ipo vizuri kwa vitu vifuatavyo...
0 Reactions
6 Replies
815 Views
habari wakuu mimi nikijana umri miaka 18 naomba msaada wa kufundishwa umeme wa magari nipo mkoani iringa mjini.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba kusadiwa kuna picha nilipost facebook kimakosa na nimegundua nikiwa tayari nime klick ile button ya post sasa nahitaji kuiondoa nimeshindwa, msaada kwenu wadau
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa humu ndani, Mwenye ujuzi au utaalamu wa kushusha new movie kwenye simu za android anisaidie maana kuna movie naitafuta sana. Plesae naombeni msaada wenu.
1 Reactions
6 Replies
13K Views
Wadau naomben link ya kudownload series inaitwa the 'a fist within four wall'
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Habar wana jf Kama heading inavyojieleza.Mimi sio fundi wala sina uelewa na mambo ya kutengeneza simu. Kuna kiasi firan cha pesa nategemea kupata siku za uson.sasa naplan nifungue ofisi ya...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Msaada jamani nahitaji Direct link ya kudownload huu wimbo Free.....nimehangaika nimeshindwa NO OTHER GOD kaimba PREYE ODEDE
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Back
Top Bottom