Habari wanajamvi.
Nina tatizo moja na Simu tajwa hapo juu. Nikijaribu kuplay music at backgroud inaplay muda mfupi then inastop. Nimejaribu kuinstall music player Apps mbalimbali lakini bado...
Natumia samsung note 4,tangu nianze kuitumia inakubali kuongeza salio lakini napofikia kutaka kujiunga na kifurushi au kuulizia salio la kifurushi hai'support', kuna bwana nilijaribu kumwomba...
Hiv karibuni kulikua na wimbi la samsung original kufungiwa na TCRA
Simu nzima inasoma line ila haipandishi mtandao. Au inapandisha mtandao ila haipigi, haipokei wala data hupati.
Ukituma imei...
Leo katika pita pita kwenye kupatana nimekutana na hii.....nikasema ngoja niisome nilipo soma mpaka mwisho nikaona kwa vile mimi nina DSTV ISIWE tabu ngoja niwapigie hawa watu
Nikaongea nae na...
habari zenu wanajamvi.
naomba msaada nina simu aina ya infinix note 3 yenye internal storage 16 gb na free space hadi ss ni 14 gb kma inavyoonekana hapo kwnye screen shot lakini nikitaka kuinstall...
Mimi ni Blogger na kwamuda mrefu nimekuwa nikifanya kazi na mtandao waBidVertiser - Webmasters Make Money With Pay Per Click Affiliate Program. ambao unasave matangazo kwenye blog yangu halafu...
Wasalaam..
Kama kichwa inavosema.. Account yangu ya Instagram imekua hacked na haipo tena kwa mtaalamu yoyote msaada jamani.. Nilikuwa naitumia ki biashara.. Ndio maana nahiitaji back.. Ningekua...
Nimeona tangazo kuhusu app hiyo kuwa naweza uza kitabu. Nimeiinstall ila bahati mbaya hawajaweka contacts. kama kuna mtu anafahamu namna ya kuwasiliana na wamiliki wa hiyo app (Jackson group...
Wakuu mbali na Usumbufu ambao Ninakutana nao Unakuta Niko kwenye foleni Nataka niangalie Taarifa ya Habari hiyo Sehemu Iliyoandikwa ITV hata huikuti hiyo Channel unaona Giza tuu
Usumbufu...
wakuu simu inataka nitumie Nano SIM card na mimi nina micro. Nimeangalia youtube tutorial za jinsi ya kukata nimeona kama ni risk. kuna namna naweza pata kirahisi. hivi mitandao ya simu hawawezi...
Habari wana JF,
Naamink hapa ni suluhisho la mambo mengi,
Nimeibiwa simu yangu Smartphone aina ya TECNO BOOM J8, ina taarifa zangu nyingi muhimu sana,
Naomba msaada wenu wa namna ya kumtrack huyu...
Wadau nimetafuta uzi unaohusiana na hicho kichwa humu sijaona,nadhani basi hili jambo bado watu watakuwa halijaanza kuwagusa.Ila kwa wale wapakuaji wa adobe products kule torents saa hizi...
Kama kuna fundi yeyote wa pc' hapa jukwaani yupo kariakoo anichekie keyboard ya pc angu niweze kutengeneza,kuinstall window 8.1 pamoja na vitu vingine vinavosumbua katika laptop yangu,awe na bei...
Hi, naomba minijuzee jinsii ya kutoa pesa paypal, nimekua nikifanya freelancing kwenye website na nimefikia kupata $200 per week(sio nyingi ila nikitu). shida yangu sasa hivi ni jinsi ya kuzitoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.