Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za Jumapili waungwana... Naomba mwenye key activator za windows 10 enterprise..wanitumie (wanisaidie ) kama kuna mtu anazo.. naamini wale wenueuelèa wa haya mambo wamenielewa vizur. shukran.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Assalama aleikum, Waungwana sina mengi ila naomba sana mwenye kujua alipo fundi wa kutengeneza ( replace) screen za smart TV za samsung anisaidie ... maana yangu ilipasuka na kwa kweli nahitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The best online pool game in the entire world yet, Nimekua nikicheza hili game kwa muda mref sana sababu n zur sana na ni real, lengo la kuweka uzi huu ni kwa wale ambao ni ma fans wa hili game...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za majukumu wanajukwaa!! Kwa mara nyingine nakuja kweny jukwaa hili endelevu nikiomba msaada. Ni hivi baada ya kujipinda na mie nikaweka chini chogo na kuvuta Samsung Smart TV model 4303...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
I have washing mashine INDESIT WIXL 143s. I have been using it for the past three years;unfortunately recently, some parts including the bearings and pcb (printed circuit board) went wrong! Now...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
wakuu msaada wenu tafadhal coz mashine iligoma kufanya kazi ghafla yaani huwa inawaka tuu kwenye keyboard but display haioneshi chochote_ntafurah sana endapo nikipata motherboard ya hii mashine...
0 Reactions
1 Replies
844 Views
Wakuu nauza c9 imetumika miez 6 nataka nibadl upepo wa cm.. Price 300000 but it can be negotiated kiduchu! One thing haina tatizo hata moja kioo kiko bomba kabisa!
0 Reactions
2 Replies
848 Views
samahn wakuu naomb msaada,nielekezwe namna ya kuburn hii copy ya window nime ihifadhi kweny pc xax nimejaribu nimeshidwa natumia ashampoo9
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Habari zenu ndugu zangu, Ninaitaji msaada wenu - (Atakeyenishawishi anaelewa naweza kumlipa) - kwenye suala la kubadilisha domain name. Kwa kusema haya ninamaanisha: kubadili: maneno.com to...
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Habari za Jumamosi wana JF karibuni tena kwenye makala nyingine fupi, leo tutaenda kuangalia jinsi ya kuongeza ulinzi wa simu yako ya android kwa aina mpya ya lockscreen. Najua wengi wetu tumesha...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Simu yangu ni Tecno Phantom6 Niliinunua October mwaka, ila kwa bahati mbaya leo nimeigonga kioo kwa funguo iliyokuwepo kwenye mfuko wa suruali na imefanya crack kwenye kioo. Naombeni ushauri...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Habari wana Jf naombeni munijuze bei ya Samsung kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo eleza.Naitaji kununua anayejua anijuze.
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamvi? Kama ilivyo ada, leo tumewaandalia video itayo kupa mwanga wewe unayehitajikuanza kujifunza computer programming lakini hujui uanzie wapi!! Katika video hii, tumeweka lugha...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
nimefungiwa fb jana baada ya kuposti picha ya uchi kila nikiingia inagoma pia hyo akaunti ya fb ndio niliyokuwa natumia kuingilia instagram, nilichokuwa naomba nisaidieni hii akaunti ya insta ili...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
namna ya kudownload movies za FAST and FURIOUS kwa kutumia simu
0 Reactions
2 Replies
636 Views
Habari wakuu, nilikuwa naomba kujua software ware ipi ambayo ni FREE kupakua katika mtandao ambayo itanisaidia kuchora graphs,hasa za takwimu ambazo sio ngumu ( not complicated mathematics)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naimani mu wazima wana JF. Natumia Huawei Y336, nashindwa ku upload picha na video zilizopo kwenye memory card JamiiForums. Lakini social network zingine kama fb, whatssup, n.k inakubali...
0 Reactions
3 Replies
793 Views
Hello wa ndg natuamai nyote wazima. Naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kukutana na tatizo hili kwanye cisco router 2911 anipe msaada. An uncorrectable parity error has occured in the tdm switch...
0 Reactions
3 Replies
937 Views
wadau naomba kijua ubora wa hii star x led tv na Tcl kwenye ubora. Ni kampuni bora na kwa nn?
1 Reactions
5 Replies
3K Views
LAPTOP A -2.7 GHZ 8gb ram RAM CORE i5 7the edition video menory 4gb with nvidia 930m pamoja na intel graphics 1 tb hdd LAPTOP B 2.6 GHZ INTEL CORE I7 5600U 8 gb RAM video memory 4gb intel hd...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom