Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau katika kupita pita kwenye website za muziki nimekutana na nyimbo ambazo nazihitaji, ila zina option ya kuplay online tu! Hapa nimehangaika kutafuta app nimeshindwa, natumia simu! Nadhani...
1 Reactions
13 Replies
10K Views
It's no secret Mark Zuckerberg is pinning Facebook's prospects on augmented reality — technology that overlays digital imagery onto the real world, like Snapchat's signature camera filters. At...
8 Reactions
53 Replies
6K Views
Kufanya Livestreaming kutoka kwenye kompyuta yako kwenda kompyuta nyingine au simu(smartphone) Kama unatazama video au unasikiliza audio kupitia vlc basi unaweza fanya vifaa vya watu wengine kama...
20 Reactions
39 Replies
8K Views
Habari wakuu,kuna best yangu anataka kununua flat screen ya kampuni ya startimes.ushauri kwa mliowai kutumia hizi tv zina ubora??
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Nina laptop aina ya dell inspiron, shida ni kuwa nikiiwasha, pale mwanzon huwa kuna kialama flan ka dell, alaf kwa chini kuna kimstari kinakuwa kinasogea, kikifika mwisho ndo windows inaanza, lkn...
0 Reactions
0 Replies
378 Views
HUENDA HII IKAKUSAIDIA SIKU MOJA! Endapo utavamiwa na majambazi na wakakulazimisha kuwatolea pesa kwenye ATM, ili kuokoa maisha yako, wala usitaharuki. Unachopaswa kufanya ni kuingiza namba ya...
11 Reactions
62 Replies
6K Views
TAFADHALI WATAALAMU MLIOMO HUMU, NAOMBA MUONGOZO JINSI YA KUTUMIA ROUTER KWA SMART TV,.. JE, NIKIWA NA ROUTER PEKEE INATOSHA? AMA HADI NIUNGE NA MODEM? NA KAMA NDIVYO, KWAMBA NI LAZIMA NIWE NA...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Jamani Samsung S8 ishafika kweli bongo maana nmehangaika sana kuitafuta madukani nimeenda nakuta zimejaa s7 na s7 edge Tu!!" Anaejua wapi niende duka ambalo nikienda ntapata kwa Dar es Salaam.
4 Reactions
71 Replies
7K Views
Habari zenu wana tech wenzangu me naitwa hancy designer na Nina channel yangu inayouitwa HANCY TV nilikua nahitaji kupata views kwenye video zangu kwaiyo naombe msahada wenu nimejalibu Google...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu Nataka kununua smart phone yenye uwezo wa kudumu na charge kwa muda mrefu ukiachilia mbali maTECNO na maItel naomba ushauri ninunue simu ipi?
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Nilinunua Lumia 635... Nika update to windows 10, mimi ni mpenzi wa twitter sana Windows phone nyingi hazina twitter nzuri in terms of GUI huwez kuona retweets za watu vizur Windows phone...
0 Reactions
3 Replies
712 Views
Shtorm carrier, known as Project 23E000E, is Russia's next military upgrade Vessels will be the size of three football fields and cost up to $17.5billion each Will carry 90 aircraft and be...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama heading ilivyosema natafuta tutor wa lugha hio ani pm pia taja bei unayolipisha kwa masaa au siku
0 Reactions
3 Replies
964 Views
Wakubwa naomba kwa yule mwenye kuwahi kuicheza hii game anifahamishe "SURVIVAL ISLAND: Hero escape". Yaani kila nikijaribu kujikoki wapi naambulia patupu, ndo kwanza nipo awamu ya kwanza kwenda...
0 Reactions
7 Replies
819 Views
✍️
1 Reactions
3 Replies
656 Views
Color: Grey (unlocked), location: Arusha City, Storage Capacity: 128 GB, Condition: Used, No scratches, Just as new. Comes with Charger and Earphones. Price: 1,400,000 inbox me
1 Reactions
1 Replies
743 Views
wadau naomba kujulishwa kuhusu ubora na mapungufu ya simu ya Samsung Galaxy S7 edge kwa waliobahatika kuzitumia maana ninaipenda sana na nina mpango wa kuinunua katikati ya mwezi May 2017 Mungu...
0 Reactions
59 Replies
9K Views
Habari, i hope mko good. Kuna kitu kinanisumbua sana, yan kila nkiapload picha Facebook inakuwa kam inapungua ubora na muonekano wake,.. kwa yoyot anaejua mambo hizi namn ya kutatua hii...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Kama kichwa cha habari hiyo ni app store ambayo unaweza pata app zote zinazouzwa play store buuuure kabisa...!! Amna haja ya kuroot simu yako inafanya kazi Hata usiporoot. Mfano cheki hapa Game...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu salama? Desktop yangu imekufa na haina namna ya kurekebisha isipokuwa kutafuta nyingine au kupata motherboard. Ni workstation dell precision T 5500. Msaada wenu tafadhali. Na kama ipo...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom