Naombeni msaada. Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu bila kujua consequence zake. Kuna namba za phone book na few msg muhimu, ni namna gani naweza zipata?
Natanguliza shukrani zangu
Tatizo la samsung galaxy A5 kioo kubadilika rangi pindi unapokua umepress powerkey kuwasha mwanga na kuona rangi imekua kama kioo kimearibika. Kisha unapoweka lock tena na kutoa kioo kinarudi...
Habari wana JF nimeona leo bora niseek for help maana kila kukicha hapa TZ kuna ibuka aina lukuki ya vilainishi vya magari mpaka sie wenye mahitajio hayo tunachanganyikiwa.mimi huwaga natumiaga...
Habari za mda huu wakuu kuna vitu nilikua nahitaji kujifunza kupitia kwenu au hata kujifunza pia.Nahitaji kua design wa matangazo ya picha na video pia kwa yeyote mwenye msaada wa wapi kwa kuanzia...
Wataalamu naomba nisaidiwe nina memory card yangu yenye vitu vyangu vya muhimu sana kila nikijaribu kuvitoa au kuviedit au kufuta naletewa ujumbe huu(write protected) nifanyenyeje kui recover sd...
Habari wana JF, karibuni tena kwenye makala nyingine kutoka Tanzania Tech leo tunaenda kujifunza jinsi ya kuanzisha darasa kupitia kwenye mtandao bila kutumia gharama zozote zile. Njia hii inafaa...
Habari,
Nina shida kidogo wazee, nina Samsung s5 original na Samsung J7 original cha kushangaza zote hazipandishi 4G. Nimejaribu kurekebisha APN ila hakuna lolote. Nikipiga simu halotel customer...
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma...
Aina ya Xiaomi, Samsung, Lenovo au Oppo. Iwe na internal memory 16 hadi 32 Gb, Ram kuanzia 1gb, ukubwa wa skrini uwe at least 5.5 na kuendelea. Nina 220k. Picha muhimu.
Waungwana nautafuta Uzi ambao ulielekeza namna ya kufanya Simu kuwa nyepesi unapofungua apps zake.
Aliweka mtu humu,kwa kuanza kutafuta developer ambayo pia imefichwa.
Naombeni Msaada. Nimenunua Prado KDJ95 engine 1KD. Lakini lina tatizo la miss wakati mwingine MISS inakuwa kubwa sana wakati mwingine inapotea kabisa. Tatizo litakuwa ni nini na nimwone nani hapa...
Dah, nilikaa nje ya Jamii Forums na Jukwaa la Teknolojia kwa muda, nimemiss mengi sana. Jamii Forums imeendelea kuwa sehemu ya kujifunza na kuelimisha vilevile kama nilivyoiacha, naweza sema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.