Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni msaada. Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu bila kujua consequence zake. Kuna namba za phone book na few msg muhimu, ni namna gani naweza zipata? Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tatizo la samsung galaxy A5 kioo kubadilika rangi pindi unapokua umepress powerkey kuwasha mwanga na kuona rangi imekua kama kioo kimearibika. Kisha unapoweka lock tena na kutoa kioo kinarudi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF nimeona leo bora niseek for help maana kila kukicha hapa TZ kuna ibuka aina lukuki ya vilainishi vya magari mpaka sie wenye mahitajio hayo tunachanganyikiwa.mimi huwaga natumiaga...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
habari wakuu.. nnashidah na account ya account ya adsense... kama ipo tubonge inbox
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za mda huu wakuu kuna vitu nilikua nahitaji kujifunza kupitia kwenu au hata kujifunza pia.Nahitaji kua design wa matangazo ya picha na video pia kwa yeyote mwenye msaada wa wapi kwa kuanzia...
0 Reactions
2 Replies
553 Views
Wataalamu naomba nisaidiwe nina memory card yangu yenye vitu vyangu vya muhimu sana kila nikijaribu kuvitoa au kuviedit au kufuta naletewa ujumbe huu(write protected) nifanyenyeje kui recover sd...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana JF, karibuni tena kwenye makala nyingine kutoka Tanzania Tech leo tunaenda kujifunza jinsi ya kuanzisha darasa kupitia kwenye mtandao bila kutumia gharama zozote zile. Njia hii inafaa...
4 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari, Nina shida kidogo wazee, nina Samsung s5 original na Samsung J7 original cha kushangaza zote hazipandishi 4G. Nimejaribu kurekebisha APN ila hakuna lolote. Nikipiga simu halotel customer...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Nahitaji kujuzwa ni app gani itaniwezesha ku recod simu ninazopiga ama kupigiwa kwa imo na watsapp tafadhali.
0 Reactions
10 Replies
969 Views
Hello husika na kichwa cha Habari, wapi Nawezaa pata hicho kifaa.
1 Reactions
16 Replies
3K Views
habarini za asubuhi, nina sim card ya TTCL na nlikua nahitaj kutuma salio kwenda ttcl nyingine. natanguliza shukran.
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Naitaji kujuzwa ni app gani ambayo itaniwezesha ku recod sim ninazo piga ama kupigiwa kwa imo na wattsapp tafadhali
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari zenu wadau wa JF, Naombeni msaada juu ya namna gani naweza kuitambua Samsung orijino. Asanteni sana.
2 Reactions
58 Replies
12K Views
Aina ya Xiaomi, Samsung, Lenovo au Oppo. Iwe na internal memory 16 hadi 32 Gb, Ram kuanzia 1gb, ukubwa wa skrini uwe at least 5.5 na kuendelea. Nina 220k. Picha muhimu.
1 Reactions
3 Replies
894 Views
Waungwana nautafuta Uzi ambao ulielekeza namna ya kufanya Simu kuwa nyepesi unapofungua apps zake. Aliweka mtu humu,kwa kuanza kutafuta developer ambayo pia imefichwa.
0 Reactions
1 Replies
351 Views
samsung s4 inazingua kwenye sim kadi kuna mda inaandika sim card removed restat,ukisha restat inaonekana nini tatizo
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni Msaada. Nimenunua Prado KDJ95 engine 1KD. Lakini lina tatizo la miss wakati mwingine MISS inakuwa kubwa sana wakati mwingine inapotea kabisa. Tatizo litakuwa ni nini na nimwone nani hapa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Dah, nilikaa nje ya Jamii Forums na Jukwaa la Teknolojia kwa muda, nimemiss mengi sana. Jamii Forums imeendelea kuwa sehemu ya kujifunza na kuelimisha vilevile kama nilivyoiacha, naweza sema...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimejaribu kureboot hakuna ,wipe cache hakuna yaani nimeshindwa imenibidi nije kwa wanajukwaa kwa wale wenye utaalam wa ziada naombeni mnisaidie.
0 Reactions
15 Replies
37K Views
Back
Top Bottom