Hi! wana jamvi
Anaejua mataizo ya bootlooping kwa lg please
Maaana na mpango wa kununua v10 ila sikia ina fanya bootlooping
Kwa watumiaje wa v10 je mmexperience hii kitu?
Habarini wa kuu wa jamvi natatizo mm ni wakala wa halotel tatizo lang ni kwamba laini yangu ya halotel ina nipaga wakati mgu sana hii ya kusajilia line kwenye kupandisha network I mean 3G ama...
Habari zenu,
Nilikua natumia vizuri tu gbwhatsapp kwenye simu yangu halafu siku hizi ikaanza kuniletea alert kua niupdate,mwanzo ilikua inafunguka bila hata ya kupdate lakini sa hivi haifunguki...
Hello wakuu wa jukwaa hili
Nina huwawei tablet model T1 701u ina tatizo kwenye network inakubali 2G tu network inasoma kwenye internet iko slow sana nashindwa kuinjoi.
Nikichange pale kwenye...
Jukwaani tafadhali nawaomba nisaidieni namna ya kuzuia mtu asinipigie kwenye mwito wa simu wa kawaida. Upande wa WhatsApp sina tatizo napo, lakini mwito wa kawaida wa simu sifahamu hatua...
Wadau tushirikishane mawazo katika hili. Nimekutana nalo katika matumizi ya App moja ikaweza kunionesha matumizi ya kila Application niliyoinstall katika simu yangu na ikaweza kunionyesha kila...
Branding & 2d na 3d animation
Kwa tanzania je inatoa ki maisha ?
Maana nimeuliza wengi wanasema kwa east afrika kenya inawatoa wengi je wale wanao fanya fani hii hapa tanzania wananufaika vipi?
Hivi nikitaka eneo flani liweze kuonekana kweny google map nafanyaje? Mfano nyumba au mtaa then mtu akisearch kwenye google map anaiona hyo nyumba au mtaa. Msaada wenu wadau
Habari wakuu,
Laptop yangu aina ya acer aspire e3-111 yenye windows 7 x64 na speaker za Realtek; ilianza tatizo la kutotoa sauti, hata nikichomeka earphone sauti haitoki.
Nimeinstall latest audio...
Habari mafundi Nina simu yangu Nokia Lumia 525 inatatizo la kuto peleka chaji ILA uki zima sim alafu ukachomeka chaji inawaka ikimanisha inqingiza chaji ila ukisha waka haipeleki chaji na hata...
By Andrey Arkusha / Global Look Press
ULAYA na AMERIKA: Mmiliki wa tovuti yenye maudhui ya ngono kwa watoto afungwa miaka 30 jela. Watembeleaji takribani 900 wakamatwa.
Kwa mujibu wa FBI watu...
I am Tanzanian based in Dar es salaam and holding degree in Economics. I have experience in quantitave and qualitative research as well as data entering using SPSS, STATA, Epi Data & Ms. Excel...
Mimi ni kijana nina elimu ya kidato cha sita kwa ufaulu div 1 ya 9 PCB ila nilikosa mkopo mwaka jana (2016) nikiwa mwaka wa kwanza hivyo nikasitisha chuo naomba msaada niweze endelea na masomo...
Hivi hii app ya MStz ni genuine au ni utapeli tu unaokuja kwa sura ya mficho. Kuingia tu unaombwa kulipa 45,000 elfu. Wanadai eti ina uwezo wa kuhack sms za mtu bila kujua. Nisadieni hapo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.