Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
nimejaribu kuroot tecno w4 kwa kutumia applivation takribani zote lakini matokeo yake ni root failed. kwa yeyote anayejua kuroot tecno w4 msaada tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wana jamvi!! kuna acount ya mtu instagram imekua hacked,imebadilishwa email iliyotumika kufungulia acount(linked email) na password pia imebadilishwa,user name ndo halijabadilishwa...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Habari wakuu. Poleni Kwa majukumu. Naomba Msaada kutoa aina hii ya Virus IMG001 Ananisumbua sana kwenye windows 7 PC na nimejaribu Kwa Avast n Smadav nimeshindwa nikasoma internet nikapewa maelezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda wapendwa kumputer yangu haidisplay option ya wifi hata ninapowasha wifi ila mwanzoni nilikuwa natumia kama kawaida wireless naomba msaada kwa wataalam.
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Msaada anayejua wapi naweza kupata strong receiver srt4950H or M
1 Reactions
1 Replies
662 Views
Wataalum naomba msaada laptop yangu imecorrups window kuna dogo kachezea cjui kafuta nini,kila nikijaribu kuweka nyingine inaniambia no driver nisaidien wataalam wa it.
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Wakuu naombeni msaada nifix external harddrive yangu imegoma kusoma kwenye window , ilikuwa na virus ikagoma kufunguka mpaka niiformat ikabidi nifanye hivyo lakini sasa hivi imegoma kabsa kusoma...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu mliobobea katika technolojia naombeni mnisaidie nilikuwa naangalia tv ghafla picha ikapotea nikawa nasikia sauti tu, mwisho ikakata na sauti nimeangalia moto {power} inaingiza tatizo...
0 Reactions
5 Replies
765 Views
Nimekuwa na host Web services (kama sehemu ya website) zetu kupitia Web Hosting Company kama vile godaddy, etc Web services hizi huwa zinatumiwa na mobile apps zetu ku-access data kutoka kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Humu kuna kipindi uliwekwa uzi ukielekeza namna ya kuongeza speed ya utendaji wa simu za android nikafuata zile njia kweli kifaa kikawa kiko faster,sasa simu nimei-reset nahitaji kuelekezwa zile...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavojieleza natafuta cable ya OTG kwa ajili ya smartphone iwe original Natumia Tecno boom j8. Ahsanteni Na bei yake ikibidi
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nawezaje kuplay PVR Video (Videos nazo records toka Azam Decoder) kwenye PC? huwa napenda kurecords videos kutoka kisimbusi cha azam na napata forma inayoitwa PVR kila nikijaribu kuicheza kwenye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimevutiwa sana na wanao tafsiri movie mbalimbali ila nahisi kuna kitu wanakosea au wanakosa mimi nahitaji kurekebisha hicho ila sina idea yoyote juu ya kile wakifanyacho,nataka kurekebisha...
3 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari wakuu! Nahitaji motherboard ya Samsung J7 za 2016, kama kuna mtu anayo aniPM tuongee bei.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau, mwanza apple store inapatikana maeneo gani? kwa anaejua, naomba msaada tafadhari.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau, naombeni msaada wa unlock codes za HUAWEI ASCEND Y530, inatumia line ya tigo pekee, inakera kweli ninapokuwa nimeenda maeneo ambayo network inazingua. So, naombeni msaada pls
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nipeni direction wakuu nipate wap flashing box zur na bei
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomben kujua wadau. Hivi nikienda kurenew hyo line, huduma za kichuo zinaendelea au wanasitisha?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Itakuwaje nikikimbia kwa speed kali zaidi ya mwanga? Ikiwa kuna speccial body protector, na nikauzidi mwanga kwa speed, kinaweza kutokea nini au naweza kuona nini?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadau wa TV naomba kufahamishwa wapi naweza pata receiver za strong srt4950H, au srt4950M
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Back
Top Bottom