Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
ni app ipi nzuri hufanya kazi vizuri kwenye PC kama modem kwa kutumia smartphone? please help
0 Reactions
7 Replies
902 Views
Habari zenu, natumia king'amuzi cha Azam lakini kuna baadhi ya chanel kama mbili hivi zinaonyesha lakini hazitoi sauti ila zingine zinatoa nini tatizo Wakuu?
0 Reactions
1 Replies
454 Views
Wadau naombeni msaada wenu katika hili...Nikilog in inaleta ujumbe huu.. Simu ni samsung s3 Thanks!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani naombeni kujua kama kuna mtu alishawahi kununua application yeyote ile play store; alinunuaje maana kuna application flani ya music nataka kuinunua ni ya Sony ila mimi nilifanikiwa...
0 Reactions
2 Replies
542 Views
With over 1.5 million units sold worldwide, this is the best solution to watch your favourite movies and shows for free! We all know how frustrating overpriced cable bills and subscription...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nashida kuna mtu yupo Uganda anataka anitumie mzigo amesema nimpe address yangu na kitambulisho na maelezo yanayoweza thibisha kuhusu mm ili niweze pata uwo mzigo na mm sina vielelezo ivyo...
0 Reactions
3 Replies
516 Views
mambo vp wakuu.. nina ps2 na monitor ya komyuta flat screen...je nini kinahitajika ili kuunganisha ps2 na monitor...ili niweze kucheza gemu kupitia kwenye monitor,...natanguliza shukrani
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Jipatie kitabu kwa tsh.3000(pdf),kitakachokupa muuongozo jinsi ya kutengeneza tovuti kwa kutumia wordpress .Baada ya kukisoma utaweza kutengeneza tovuti yako wewe mwenyewe bila ya kumlipa mtu...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wale wataalam wa IT hebu nielewesheni kuhusu sababu kubwa inayofanya kupotea kwa signal na hasa kwa hizi TV zinazotumia Satellite kama vile DSTV wakati huu wa mvua.Kinachotokea ni nini hasa...
0 Reactions
1 Replies
469 Views
Nilinunua Bundle la Smart la Mwez (elfu 20 unlimited) kwa Matumain kwamba nafanya Cost Reduction lakin Ndio Jipu kuliko inafungua website zote lakin si Facebook sasa Najiuliza ni kwamba Server za...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Simu yangu ni Huawei Y625 inatatizo la kujizima yenyewe wakati natumia inaandika betry high temperature hafu inajizima tatizo hili limeanza leo asubuhi Naombeni msaada wenu[emoji122] nifanyeje...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari zenu ndugu, Naomba mwenye OS ya Zorin Anisaidie, version yeyote ile..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar wandugu, simu yng inatatizo hainipi notification ya kuonyesha kwamba charge inaingia, sio indicator ya LED light wala alama ile ya zigzag inaingia kimyakimya tatizo hilo limeanza asubuh hii...
2 Reactions
0 Replies
501 Views
Tatizo lake haisupport 3G wala 4G na network mode haipo kabisa kwenye mobile data , naombeni knowledge yenu wakuu .
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Simu yangu nikiweka charge charge inapungua.
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Mko poa,,, Nimeroot simu yangu sasa naitaji best custom rom ili niweze kuiupdate simu yangu Kama wajua best iyo best custom rom wawez nitonya apa Simu yangu ni LENOVO VIBE 7010a48 Android lolpop 5.1
1 Reactions
2 Replies
696 Views
Habari wajameni Mimi nina shida kwenye paypal nikisign up nikiweka email na pasword nikashacomfirm nikiwa hatua ya kujaza information lazima izingue tu Ninajaza vizuri tu nikibonyeza kitufe cha...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu mwenzenu nikiingia aliexpress nikitaka kununua kitu kwenye payment method sioni paypal naona tu wananiambia niingize namba ya kadi yangu ya benki Mara wananiletea alipay halafu wananiletea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa unaejua kutumia software ya AutoCad au hujui kutumia ila unaijua ni nini karibu utuelezee applications za autocad software.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaaafa wana JF mnaweza nisaidia link nzur ya kupakua furious8 yenye full hd kiurahis
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom