Kwa mtaalam wa smart phone anisaidie Sim aina ya Itel 1450 Nimesahau yani nimejaribu kukumbuka Nimeishiwa pozi msaada nifanyaje imenibidi niazime simu ili kuomba msaada kwa wataalam
Wataalmu wa usalama ya mitandao katika komputa, wanaonya kwamba kunaweza kutokea mashambulio mengine katika baadhi ya miji dunia, pale tu wataporudi makazini siku ya leo.
Inasadikika kuwa komputa...
Nikichomeka flash au ata USB haisomi inalia kama imeingia lakini haionekani, hata nikidownload magame haikubali inaonesha kama virusi.
Tatizo ni nini wakuu and how to fix?
Habari
Hawa jamaa wamefanikiwa kuziathiri nchi zaidi ya 150 na sasa hivi nchi nyingi zipo kwenye disaster recovery mode. Je kuna fununu au taarifa rasmi kutoka Tanzania kuwa ni Taasisi au...
wakuu nipo kwenye mchakato wa kununua TV nzuri na nimeresearch TV kadhaa.....nimetokea kuipenda BOSS TV na nataka ninunue ya inch 50 au 55 ......specs zake nimezielewa nataka tu kupata uzoefu wa...
Wataalamu wa teknolojia naomba mnijulishe ni jinsi gani naweza kujilinda na udukuzi wa simu yangu.Kuna mtu ananifuatilia kujua nipo wapi kupitia namba yangu ya simu so nataka niepuke hali...
Habari wakuu,
Nilikuwa naomba msaada wa kitaalamu(sound engineering) namna ya kupata vyombo vizuri vya kupigia mziki vipya nikimaanisha kwa ajili ya sherehe, au shughuli mbali mbali zihusianazo...
Huyu ni mallware ambaye ana encrypt file system yako ya windows, Amekuwa produced February mwaka huu Na anakua downloaded from emails au prompt messages za ku update a certain software halafu...
Wakuu nimedownload game la dream league baada ya kuona humu jukwaani wengi wakilisifia, sasa changamoto inakuja jinsi ya kulicheza.
Wakuu naomba kuelekezwa jinsi ya kucheza hili game kwa...
Habar wana jukuwa hili pendwa
Naomba kujuzwa jinsi ya Ku add image kwenye HTML kwa kutumia notepad ++ or notepad ya kawaida asanteni pamoja na slideshow
Wajuzi wa webdevelopers naombeni mnijuze...
guys naombeni msaada nina decoder ya qsat q23 na ningependa kuiconnect na modem yangu ya VODA(modem hizi mpya nyekundu ) nipeni procedures tafadali atanguliza shukrani wakubwa
ASANTENI SANA.
Nimenunua Samsung LED TV 28' F4000 ina king'amuzi ndani (Built in receiver) ila naishi wilaya ya kilombero. Je naweza kupata free satellite channels kwa kutumia antena?
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena...
Habari zenu wadau, Nipo Ushirombo Geita , Juzi nilinunua receiver ya medicom 930 plus mpeg 2 , Lnb ya azam ya ku pamoja na dish la futi 6 la prime focus ninahitaji kupata f.t.a channel zozote je...
Wakuu,,,
Ni bloatware zipi ambazo ni safe kuziremove kwa simu yangu aina ya LENOVO VIBE K4,,,LOLPOP 5.1,,,Maana nimeroot now ndo nataka nitoe izo bloatware
Msaada tafadhali,,,
Naombeni msaada ndugu. Zangu
Nahitaji application so nauliza nahitaji vitu gani au wajuzi mniambie sh ngap gharama na watengenezaji nawaomba kama wapo inbox
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.