Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini wana jf. Bila kuwachosha, naamini wengi wenu au wachache wanaishi kwenye nyumba za kupanga, kila Mara unaambiwa umeme umeisha nimeona leo niwape kidogo elimu ambayo itakusaidia. Kabla ya...
11 Reactions
14 Replies
7K Views
Imekuaje Bongo hakuna Google I/O Extended event mwaka huu? Miaka iliyopita ilikuwepo Costech. Google I/O ni event inayofanywa na Google kila mwaka kuonyesha technolojia zao mpya, hasa zikiwalenga...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Habarini wanajamvi, Nimesave game ya eurotruck kwa PC yangu shida ni hizo key ambazo pahali niliweka nimepasahau. Msaada wenu tafadhali
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Yani nmeweka window mpya sasa inakataa nkitaka kuweka internet
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Nimepotelewa na simu yangu aina ya samsung s4 ..lakini ndani nilifanya installation ya free tracker nawezaje kuiblock ile simu naogopa confidential document zikasambaa wakuu... Nawasilisha
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Shambulizi la uhalifu wa mtandao laathiri mataifa 99 duniani Haki miliki ya pichaWEBROOT Hivi ndivyo ilivyokuwa katika baadhi ya kompyuta wakati wahalifu wa mtandao walipotekeleza shambulio...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Toka jana (07/04/2017) nimeanza kutumia Gb whatsapp ambayo nimeidownload kupitia hyperlink ambayo niliipata kupitia hapa JF. Nimeipenda sana kwa features zake tofauti tofauti. Shida yake ni moja...
2 Reactions
36 Replies
8K Views
Udukuzi wa mifumo ya kompyuta na simu uliyotokea Jana. Jana usiku kumetokea udukuzi wa kimtandao takribani nchi zaidi ya 150 duniani kwa siku ya juzi tu. Nchi kubwa zenye wataalamu wa kutosha kama...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
Habari za muda huu na pole na majukumu ya kila siku ktk maisha Awali ya yote nipende kulipongeza jukwaa hili kuwa msada mkubwa kwa watanzania katika maswala ya technology, mambo mengi...
3 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu msaada tafadhali, mwenye motherboard ya mashine hii hapa chini.... [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] Nitafute tufanye biashara,nahiitaji motherboard hiyo!
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Kama kuchwa cha Habari kinavyoeleza ..Naomba kufahamu Garama kamili za kutengeneza App kwenye Android na IOS , na wap naweza pata hiyo huduma . Ahsante
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Maicrosoft waliacha kutoa msaada wa viraka vya usalama au "security patches" mwaka 2014, na kusema kwamba hawatoendelea na uratatibu huo.kwa Windows XP. Microsoft wakaendelea kusema kwamba bado...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, naomba msaada wa mamna ya kuweza kumtumia mtu file ambayo itazidi mb 16. Mimi natumia samsung note 3 ambayo uwezo wake wa mwisho kutuma ni 16 mb pekee, sasa nina ulazima wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hackers wanaoitwa Shadow Blockers wameachia virus wa ku hack computer zote zenye windows XP na kuiba data zako. Hiyo yote ni kutokana na Microsoft waliacha kutoa updates za kuilinda hiyo Windows...
3 Reactions
2 Replies
658 Views
Wakuu naomba yeyote mwenye kunisaidia kupata editing program ya pinacle kuanzia version ya 17 mpaka ishirini anisaidie link. Tafadhali sana wakuu naomba huo msaada.
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Jamani kila nikiingia internet naambiwa your connection is not secure. Naombeni msaada jamani tatizo nini?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi. Natumai wote wazima kabisa. Mimi nahitaji ushaur kutoka kwa wazoefu wa laptop. Aina gan ya laptop ina ubora kwa sasa. Natangulisha shukran zangu
0 Reactions
29 Replies
21K Views
Nahitaji laptop aina ya Mac used kwa bei nafuu nitapata mimi nipo Kahama
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habari zenu wana jamvi✋ natumai mko pouwa kabisa lengo langu ni kutaka mnielimishe juu ya hii laptop za macbook pro binafsi mimi natumia laptop ya macbook pro 13 inch mid 2012 macOs sierra ...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Just to give it out to the people in need, nimekua nikipata request nyingi kuhusu Books za C++, So for the end-of-the-year`s sake nimeona ni bora to just give them all away. Nimekusanya a...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom