Siku jumamosi nilikabwa nikanyang'anywa simu yangu bahati nzuri nikafanikiwa kubaki na mmoja wa hao watu wakabaji.kwa sasa Mimi ninajiuliza nitaipataje maana hata aliyekamatwa kagoma kutoa...
Haya wadau wa game la SIMCITY tuje hapa.
Mwenye utundu wa jinsi ya kupata free coin aiseeh aumwage hapa maana nina siku kama tatu hivi sina pesa na raia hazina umeme, maji hamna ,maji machafu...
Habari mkuu..
As stated above...
Nahitaji msaada kwa watalaam namna ya kuandaa link ambayo mtu anaweza kuifuata na hatimaye kujiunga na group moja kwa moja. ASANTE!
wakuu nahitaji msaada keyboard ya PC imemwagikiwa na chai ya moto na baadhi ya sehemu zimekuwa nzito kuzibonyeza je vipi naweza kuzirudisha katika hali ya kawaida.
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kufuatilia ule uzi wa Wickerman kuhusiana na Unlocking MODEM ya E3372h-153 na kufikia kwenye option ya kuhitaji unlock codes. Kama kuna mtu ambaye anauza hizi unlock...
Habar wana jf Nina simu w4 lain one haipandishi 3G nimejaribu kwenda kwenye setting pale preference network inaniambia niingize network ID kwa anayejua please!!!
Kampuni ya utengenezaji magari ya Toyota, ambayo imefadhili utengenezaji wa gari inayoruka angani ikiwa ni mradi uitwao Cartivator Project, yamepanga kuzinduliwa mwaka 2020 katika mashindano ya...
S5 has corrupted its OS ... So it uses a temporary OS of techno' now can you help me to return back its OS system as it is? Nakama ni pesa inahitajika kiasi gani ili niweze kufanikisha coz warrant...
Nina Camera yangu Canon EOS 7D, nilikuwa naitumia vizuri leo nikiwa kwenye zoezi la kupiga picha Camera ikakataa kupiga na inaandika, CARD CANNOT BE ACCESSED.REINSERT/CHANGE THE CARD OR FORMAT...
Nahitaji kufanya kazi kahama city.
Nifundi Wa hardware na software.
Sibahatishi kazi naijua simu.
Nimwaminifu sipendi utapeli.
Kiimani ni mlokole,moto.
Nina vifaa vyote vya kazi
Yaani flash...
Habari wakuu
Naomba msaada wa maelekezo. Nimenunua Huawei E5330 mobile WIFI.
NImeweza ku connect kupitia laptop yangu na wifi inakuwa connected vizuri tu lakini Tatizo linakuja ukitaka...
Hapa Juzi lap top yangu aina ya mac book pro inch 13 with retina display katika hali isiyoeleweka imetoa michirizi ndani ya screen hali iliyosababisha kutoonekana vema. Lap top hiyo haina crack...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.