Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
KWEMA WAKUU!! ? NAOMBA MSAADA WENU NAMNA YA KUPOST VIDEO,PICHA,AUDIO AU LINK....HUMU JF. HUWA NATAMANI KUSHARE VITU VIZURI NA NYIE LAKINI NASHINDWA.......MSAADA WENU PLZ. NATUMIA TECNO W4.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba mnisaidie kanuni za kutafuta divisheni katika matokeo, yaani nimeisha ingiza matokeo kwa mfumo wa grades kwenye spread sheet ya excel, so Nataka nipate points pamoja na divisheni.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimekua natamani kujua facebook wanatumia tools gani kuchukua post heading na picha, pale tunaposhare link (tunapo copy link ya website au blog nakuiweka facebook) Sisi tuna weka link tu, wao...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Wasalaam..naomba Msaada jamani kuna simu ya Samsung Galaxy S6 Edge inagoma kuwaka. Ikiwaka inaishia kuonesha nembo ya simu tu alafu inazimika. Naomba msaada yeyote anafahamu tatizo hili.. Asante.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
habari, naomba msaada jinsi ya kuweka autocomplete kwenye search box, yan mfano mtu akianza tu kuandika basi apate suggestions
0 Reactions
4 Replies
764 Views
Natafuta miracle flashing box Iwe na miracle key Tsh:200,000/= Pia kama una box yoyote ikopoa na unauza nicheki,763949447
1 Reactions
15 Replies
5K Views
nnashida sana na kupiga kazi ya phone software, bt namic tools za kupigia kazi, mwenye nazo hzo tools tubonge hapa
0 Reactions
1 Replies
692 Views
Mwenye lg3 mbovu yenye screen nzima nahitaji budget 60000 niko mwanza
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Wakuu habarini za Weekend Mimi ni mteja wa CRDB bank. Nina miliki card ya ATM ya account yangu. Mwaka jana nilijaza form kwa ajili ya kufumguliwa huduma ya malipo ya mtandaoni. Baada ya kujaza na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
R.I.P samahani jamani naomba msaada Wa tafsiri Wa neno hili maana ni Mara nyingi nimeliona likitumika misibani Na kama MTU kafariki , kupokea/kutoa taarifa za kifo R.I.P ni nini maana yake...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Salam wakuu..naombeni msaada simu yangu Huawei P6 imekufa baseband version inaandika 'UNKNOWN' na laini haisomi kabisa inaandika 'No SIM card'...hii ilitokea baada ya kidude cha kuwekea laini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumai wazima. Nilikua naomba msaada wa App au link ya chaneli ambazo zitakazokua zinaonyesha BET AWARDS live leo. Nimesikia ABC ndo wataonyesha hzo nyinginezo bado sijazijua. Chief-Mkwawa
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Habari wana JF, Ni siku nyingine tena ambayo natumaini itaisha salama, kwa siku ya leo ningependa kutoa Tangazo dogo. Tunahitaji watu 10 wa kujiunga na tovuti yetu ya Tanzania Tech kama wahariri...
0 Reactions
3 Replies
797 Views
Lenovo ZUK Z2 $176 RAM: 4GB Storage: 64GB Chip: Snapdragon 820 2.15GHz Quad-core (Processor ile ile ya Galaxy S7/Edge, LG G5 na flagship zengine za 2016) Screen: 5 inch (1080 x 1920) Battery...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni LG G3. Mara nyingi inakata network inaonesha kama hakuna laini kwenye simu. Ni kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini. Wakati mwingine nikizima na kuwasha kama mara hamsini ndoinakubali...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Habari za wakati huu. Nimekuwa nikipata story tu za huko dark/deep web kama kuna mtu yoyote mwenye ujuzi wa kuingia huko naomba anisaidie. Nataka nikashangae tu nothing serious.(nimejaribu ile app...
1 Reactions
24 Replies
11K Views
Naimani mu wazima wanajf. Natumia huawei Y336, nashindwa ku upload picha na video zilizopo kwenye memory card jamii forum. Lakin social network zingine kama fb, whatssup, n.k inakubali. Wataalamu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, Niliwahi soma oracle nikiwa chuo ila hatukupewa cheti nahitaji mahali apa dar es salaam niweze kufanya mtihani na kuwa oracle certified napenda kujua na gharama kabisa. Nitashukuru nikijibiwa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina betri la N26 nataka kutengeneza inveta,sasa naomba msaada ni inveta ya watt ngapi naweza kutengenezesha kwa betri hilo
0 Reactions
2 Replies
905 Views
Back
Top Bottom