Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwenye linki ya android game pes 2017 anisaidie
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nataka kununua Huawei Smart Phone yenye bei nafuu. Napenda kujua ni Model gani ni nzuri na imara. CC: Chief-Mkwawa
0 Reactions
28 Replies
3K Views
wadau Microsoft office 2010 yangu haidect printer. ni option ya send to note 2010 tu ndiyo iko ready. wenye uzoefu nipeni solution.
0 Reactions
1 Replies
374 Views
Habari ndugu zangu, napenda kuwataarifu waandaji wa mpango kazi wa usambazaji umeme,kama una project ambayo inatekelezeka ya kuhusu Umeme vijijini.njoo PM
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Hii simu ni USED imetengenezwa 2014 lakini sasa chakushangaza simu nimejitaidi kuiwekea ujuzi upande wa software mobile imeshindikana . nimefanyanya haya yafuatayo:- 1.Kuflash simu kwa kuweka full...
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Habarini humu, Nimejaribu kusearch tv online kwa kuandika jina la channel husika naona sifanikiwi, naomba msaada nifanyeje ili niweze kupata channel yoyote ninayoitaka online?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina sim tecno w3, ninapotumia internet halafu nikiangalia kwenye internal storage nakuta storage inapungua hadi nifanye ku clear cached data. Hakuna namna ya kuzuia hizi cached data? Nimechoka ku...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Can a drones, robotics and AI saves a TZ agricultural sector from sinking and starvation??? Lets explore how the stuffs works: Automated agriculture ni kilimo cha kisasa kabisa besides na...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Tafadhali Nashida Na Mtaalamu wa Mambo ya Blog Designing and Developing... Kama Ntampata Ntashukuru
0 Reactions
2 Replies
717 Views
Wakuu naomba kuuliza ni application ipi naweza kutumia kuedit background ya pic kua nyeupe. Pia application ambayo naweza edit pic ikawa na quality kama ya pic za ebay au Alibaba Natanguliza shukran
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari wapendwa natafuta anti virus ya kununua niweke kwenye laptop yangu
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Ndugu wana jamii forum nimeibiwa simu yangu aina Ya TECNO W4 Na imei zake nimesahau nifanyeje au ndio imeenda
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Inawezekana ndio unaanza kutumia programu ya WhatsApp au hata pengine ulikua unatumia programu hiyo kwa miaka mingi sasa, lakini pia inawezekana ulikua unakosa kutumia programu hiyo vizuri kwa...
4 Reactions
12 Replies
6K Views
Habarin wakuu samahani kwa mtu mwenye screen ya brackbelly 9860 au fundi mwenye uwezo wa kuunganisha mkanda anisaidie maana imekatika mkanda Natanguliza shukrani Tutafutane in 0755161970
0 Reactions
1 Replies
582 Views
Wanna JF laptop yangu antivirus yake inaisha 19June2014 Je ni lazima nipeleka kwa wanaoweka hiyo antivirus au nikisha nunua toka katika duka la vifaa vya computer naweza weka mwenyeywe. Kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, Kichwa kinajieleza, nna key ya 2 devices kaspersky Yenye siku 350 days nauza kwa 18000tsh Anae hitaji ani PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya jumapili wadau nina simu yangu Tecno j8,jambo linalonikela ni pale napoitaji kudownload apps zaidi inaniambia interna memory imejaha swali langu hakuna uwezekano wa kuzihamishia hizi...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Hivi inawezekana kutumia barua pepe zaidi ya simu moja (kushare) na isilete matatizo ya kifaa chako maana mm nimeshare barua pepe simu yangu imejilock (Samsung)
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Watu wengi sana binafsi na makampuni wanatumia windows, iOS na androids kama operating systems zao kwa vifaa kama simu na computers...mataifa yalioendelea kwa usalama hawazitumii hizi bali wanakua...
5 Reactions
90 Replies
7K Views
Laptop yangu ya Hp ina tatizo kila kitype baadhi ya button kwenye keyboard kinacho display kwenye screen kingine mfano nikitype F inatokea FV. D inatokea DC. S inatokea SX, A inatokea AZ...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom