Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari wana jamii Naitwa sumu ya panya haina haja unijue zaidi kazi yangu ni anti-privacy napenda kuleak taarifa,kupoteza ushaidi na taarifa za kimtandao,nafungua Locked...
5 Reactions
32 Replies
10K Views
hi nime format drive ya Windows nikijaribu ku boot inaandika hivi angalia hii picha
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Salam Wakuu! file limefutika miezi minne iliyopita! kuna Njia Yoyote ya kulirudisha?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wa tech Simu yangu ya tecno Ina shida ya kubadili majina tofauti na nilivosave mathalini jina la huyu atapewa huyu wengine inaunganisha kitu inachonipa shida sana kwenye mawasiliano...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu, poleni na majukumu, mimi ni fundi simu nafanya hardware na software hivyo nahitaji watu au ofisi ya ku-share tufanye kazi, napatikana Dar.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada tecno yang smatphone haionyeshi storage ya phone hata ukiweka memory card pia huioni...msaada kwa hili
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Nina laptop imeanza kunisumbua. Pointer yake haitulii ninapogusa touch, nikiachia hata nikitumia mouse Inaendelea kucheza cheza nashindwa kufanya kazi zangu, nimepeleka kwa fundi amekorokochoa...
0 Reactions
2 Replies
579 Views
wataalam habari zenu naomba msaada simu kila saa inaleta pop up katika screen nime disable kila kitu ila nikiwasha data tu zinakuja nikiclose baadae inakuja ingine saa ingine zinakuja hadi picha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Antivirus Firm Kaspersky launches Its Own Secure Operating System The popular cyber security and antivirus company Kaspersky has unveiled its new hack-proof operating system: Kaspersky OS. The...
0 Reactions
7 Replies
950 Views
Zinapatikana aje? kwa sms , call
0 Reactions
1 Replies
592 Views
Watanzania wenzangu nisaidieni,kuuliza siyo ujinga. Tunajua Western Union au Rapid Transfer ni njia za kutuma fedha from nchi 1 kwenda nyingine, sasa kama nataka nipokee pesa kutoka Iran or...
0 Reactions
4 Replies
20K Views
Laptop ipi nzuri for gaming kwa budget iyo?
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Habar za leo wakuu Simu yangu (iphone 5s) imepasuka kioo hivo nahitaji kama kuna mtu ana simu kama hii yenye icloud aniuzie ili nitoe display niweke kwenye cm yangu Budget yangu ni efu 50
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama kuna developer wa App naomba anicheki whatsapp +258845418066
0 Reactions
3 Replies
648 Views
Wakati watu wengi hutumia mitandao ya kijamii kwa kupiga stori na jamaa na marafiki zao,wengine hujaribu bahati zao kimaisha kwa kutumia mitandao hiyo. Kijana mmoja Hassan Habiyambere anasema...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi unapo-boost post au page kwa kutumia credit card unalipia malipo halali kabsa I mean pesa au maana unapojaza ile credt card tayari unakuwa umefungua adsacount na unakuta $$ nyingi kwenye...
0 Reactions
2 Replies
824 Views
Habari za mda huu wakuu naombeni msaada wenu katika hili,nina page facebook na leo nilikua najaribu ku boost post yangu ili tangazo langu liwafikie wengi zaidi na sehemu zenyew ni hizi mbili...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jamani samahani, nina simu yangu ghafla tu haitoi sauti pindi nipigapo simu au kupokea na kuita inaita nimecheki spika zote ziko safi sielewi nini tattizo. Model ya Simu ni HTC one.
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Hello Gentleman and ladies ,naombeni kama kuna mtu anayejua App ya kitabu cha dini ya kiislam Kile cha kuanzia kujifunzia anipe links please. Natanguliza shukrani kwenu, mimi ni RC napenda sana...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari za kazi na majukum wadau wa JF, naomba msaada wa ufafanuzi juu ya kuzima hizi sim aina ya smartphone bila sababu mfano ukiwa unapiga picha, unafungua application, unacheza game, upo online...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom