Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habar zenu wadau katka sekta ya technology...Baada ya kutamani kwa muda mref sna na mim device yangu kuwa rooted hatimae nlifankisha baada ya itel 1556 plus kuwa rooted ..... Kama tujuavyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
salaaaaaam, naombeni msaada wenu jamani, nina laptop dell inspiron 15-3537 tatizo lake inastack sana na pointer ya mouse ina blink muda wote hata kama hamna program nyingi zinazorun kwa muda huo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau natumia acer android 4.4, tatizo langu ni kwamba sio space ya kutosha kuinstall apps mpya japo nina sd card ya. 16gb but apps haziw installwd humo. Ktk kusearch wanasema cjui nifanye...
0 Reactions
3 Replies
617 Views
Habari wana JF, Najua ni muda sasa toka tulipo post makala ya mwisho humu lakini hiyo ni kwa muda tu sababu ya kuandaa tovuti nyingine bora ya habari na makala kwaajili yenu. Basi baada ya kusema...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nahitaji Ku design kipeperushi ni program IPI ya adobe inaweza nisaidia kwa sehemu kubwa?
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Kama naweza naomba kuelekezwa Ahsante
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Habari, Developers. Natafuta mtu yoyote atakaye tengeneza php scripts ambayo itaweza kuhesabu maneno kwenye document ya ms word 2007 kwa kutumia php language. Chukua taadhali kuwa idadi ya maneno...
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Tanzania Tunazalisha wastani wa Megawatts 1745MW Kiwango hicho sio toshelezi sana kwa Watumiaji ila at least kinatupa Umeme wa Kutosha kutumia Kwa baadhi ya Wateja Jirani zetu kenya wao wanafua...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Ni matumaini yangu mko vizuri wanajamii, kwa kifupi kuna sehemu kijijini maeneo yanayozunguka kuna mtandao wa internet wa isp mbalimbali lakini tatizo ni kuwa hapa kwenye eneo hili ambalo lipo...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Matumizi ya Teknolojia yameshika kasi sana katika ulimwengu huu na imekuwa ni chanzo cha kutatua baadhi ya changamoto mbali mbali zikiwemo kubwa na ndongo ambazo kimsingi zimekuwa zikizisumbua...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Imekua kawaida kulipia kifurushi kulipia ksumbuzi kila mwezi bila kuangalia uhalisia kuna kipindi kirefu unakua hauko maeneo ya nyumbani na wakati mwingine hakitazamwi kabisa na baada ya mwezi...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Fahamu yanayoendelea kwenye technology kwasasa na uvumbuzi wa google. Mungu atusaidi tufike huku siku moja.
3 Reactions
0 Replies
1K Views
natanguliza heshima kwenu wadau..ninaomba msaada wa keys za window 8.1 pro nilizokuwa nazo zimexpire
0 Reactions
2 Replies
702 Views
habari zenu wadau,ninaomba msaada mwenye kuzijua links za kuangalia mechi za mpira kwa kutumia mx player aniwekee hapa.
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Wakuu habari za majukumu natumaini mpo poa? Kama kichwa cha habari kinavyosema,nimereset simu yangu sasa baada ya kureset tu nikitaka kufungua browsers i.e chrome/mozilla /internet browse ngoma...
0 Reactions
3 Replies
875 Views
Habari zenu wakuu! Naomba msaada wa wapi ninaweza kupata digital cramp meter yenye uwezo wa kupima current ya DC na AC, voltage ya DC na AC pamoja na function zingine, maana nimezunguka maeneo...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Za leo ndugu zangu. Naombeni msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natumia simu ya Samsung Galax Tab kwa matumizi ya internet na kupata habari. Ila cha kushangaza Jamii forum naingia kwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa jamii yetu ya kitanzania uelewa wa android umekua mdogo sana na siku zote watu wanafikiria simu hizi ni za bei ghali nimeandika makala hii ya kuzichambua simu za android za bei rahisi. Pia...
12 Reactions
124 Replies
20K Views
nipo dar kama wewe ni fundi wa simu upande wa hardware,lakini uwe na ofisi mimi nije nifanye kazi ya software. vifaa ni vyangu kwa software... mapato ntatoa nusu ya kila lipo ntakalofanya kazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wakuu.... kuna ugonjwa wa memory card pamoja na flash umeibuka unakuta flash ina ukubwa wa 16GB lakin inaingiza nyimbo 10 tu ukizidisha hazilii ukiiformat bado vile vile kwa anaejua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom