Salaam wana jukwaa.
Mwenzenu nina miaka mingi sana sijasikia habari ya huyu member wa jf a.k.a Transistor yaani sijui yupo hai au vipi naona kimya wala hapatikani hapa katika kuchangia na wala...
Please mods mnisaidie kuhamishia thread hii jukwaa husika.
Jaman naomba msaada wa kujua namna ya kuipata kwenye mtandao ( kudownload) movie ya kihindi ya Andhaa kanoon iliyochezwa na Amitha...
Nimemaliza masomo yangu nasomea coz ya science and laboratory technology kwa ngazi ya diploma. ...
Pia wazazi wabataka niache niamie nyngine nijaanze nayo upya coz ya clinical officer. ...
Salamu ndugu na jamaa.
Nimepatwa na shida ambayo sielewi kwenye machine yangu Desk Top ya Dell na monitor yake ni Dell. Mchana huu naiwasha inaniambia ENTERING POWER SAVE MODE na baada ya sekunde...
wale wataalam wa simu, nina simu ya tecno y6 ila ina zingua camera zoote kuanzia ya simu yenyewe hadi nilizo download kila nikiingia naambiwa cant connect to the camera.
nimejaribu kupunguza vitu...
Natumai mu wazima wa afya.
Simu yangu ina shida kila napotumia facebook kwa muda mrefu simu inazima ghafla na kuwaka tena. Tatizo hili huambatana na simu kuchemka.
So kwa anayefahamu nin tatizo...
Wanajamii wezang natumai mko poa,samahan kwa mwenye sirial no. Za Adobe illustrator naomba anitumie PM au meshack.mathew94@gmail.com.Natanguliza shukrani zang za dhati.Asanten
Habari zenu wanajamii, kama hapo juu nilivyoeleza BlackBerry yangu inashindwa kutambua MENU za mitandao ya simu yaani ukitaka kuuliza salio au kuweka salio ukishamaliza kuweka namba mf. *102# au...
Habari za muda huu wakuu
Naamini mpo salama na mnaendelea vyema katika shughuli zenu....
.
Binafsi niko sawa namshukuru MUNGU
Lengo la kufungua uzi huu ni kutoa shukurani zangu za dhati kwa Hans...
Habari za muda huu wakuu
Naamini mpo salama na mnaendelea vyema katika shughuli zenu....
.
Binafsi niko sawa namshukuru MUNGU
Lengo la kufungua uzi huu ni kutoa shukurani zangu za dhati kwa Hans...
Namna ya kuwa na app ya android na iwe inapatikana pia kwa iphone users
unafanyaje?
naona watu weng humu wanawweka matangazo tu ya kuwa na website
wakati app ndo kila kitu these days
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.