Kwa Wale mnaopenda kutumia whatsapp kwenye computer, wengi wenu mlikua mnatumia aidha whatsapp web, bluestack au emulator nyingine nyingine. Naona Jamaa wamewaletea application kabisa ya...
Salaam Ndugu zangu, mnamo majuma mawili yaliopita niliweka mada mezani kuomba msaada kuwa mac book pro with retina display inch 13.3 imepata kitu kama screen crack kwa ndani hivyo kuleta mistari...
Kilio changu mimi ni kwa hawa majangiri. Hivi huku hamna hata wafanyakazi wa sekta hata ya ufagiaji tu huko airtel apeleke malalamiko? Haiwezekani ka kitu ka GB 13 inasema masaa 39 na wakati kuna...
Kilio changu mimi ni kwa hawa majangiri. Hivi huku hamna hata wafanyakazi wa sekta hata ya ufagiaji tu huko airtel apeleke malalamiko? Haiwezekani ka kitu ka GB 13 inasema masaa 39 na wakati kuna...
Wakuu habari zenu,
Kichwa cha habari chahusika. Natumia simu aina ya Tecno nashangaa nikituma msg yenye neno Sex message hiyo inafeli lakini msg zingne zote zinaenda hata niandike nini.
Kuna...
Je ukitaka kutengeneza operating system ya cm kama ilivyo android naombeni mnisaidie ni hatua gani zinaitajika kutumika nakaribisha mawazo na ushauri wenu.
Habarini wanajamvi.
Natumia PC aina ya Toshiba lakini nikiplay nyimbo yeyote kwa kutumia program yeyote na nikiingia YouTube huwa sound haitoki kwenye PC yangu. Nikiplay wimbo kwa kutumia media...
Hivi hakuna app ambayo inaweza kunisaidia kupost labda tangazo au any event kwenye Facebook group, mfano nina tangazo nataka nipost kwenye group za Fb tangazo moja nitume kwenye group labda 100...
Wakuu nimeibiwa simu mpya kabisa . Yani siku nimeinunua usiku ikaibiwa. Ni simu ya 1.7m. Siwezi sema ni aina gani mana uyo mwizi anaweza kuwa humu.
Naombeni ushauri nifanyeje ili niipate. Polisi...
Habari wakuuu
Samahani naomba msaada kwa mtu alie DAR na ana FL STUDIO,nimejaribu kudownload site mbalimbali na inakua na reg keys ila nikiinstall inakua DEMO...kwaio NAOMBA MSAADA
Huyu mdada (mtoto) abajiita Tunda Nation ninemkuta kule face book anauza simu kwa bei ya chini sana. Kwa mfano
1. Galaxy s6 ni 300000
2. Galaxy j7 prime 350000
3. Galaxy s7 kwa 250000
Jamani kwa...
Salama wakubwa...?
Mimi nilikuwa naomba ushauri wenu na mawazo yenu mimi nimeanza kusoma kozi ya graphic and video pro..chuo kmoja hapa DSM,ndo kwanza nina wiki kama moja hivi sasa nacho omba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.