Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwa Wale mnaopenda kutumia whatsapp kwenye computer, wengi wenu mlikua mnatumia aidha whatsapp web, bluestack au emulator nyingine nyingine. Naona Jamaa wamewaletea application kabisa ya...
2 Reactions
0 Replies
784 Views
Salaam Ndugu zangu, mnamo majuma mawili yaliopita niliweka mada mezani kuomba msaada kuwa mac book pro with retina display inch 13.3 imepata kitu kama screen crack kwa ndani hivyo kuleta mistari...
0 Reactions
4 Replies
945 Views
Habari wakuu naomba kuuliza window gani itafaa kwenye PC yenye RAM 1GB mbali na XP? na inawezekana kudownload window from net?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kilio changu mimi ni kwa hawa majangiri. Hivi huku hamna hata wafanyakazi wa sekta hata ya ufagiaji tu huko airtel apeleke malalamiko? Haiwezekani ka kitu ka GB 13 inasema masaa 39 na wakati kuna...
0 Reactions
5 Replies
881 Views
Kilio changu mimi ni kwa hawa majangiri. Hivi huku hamna hata wafanyakazi wa sekta hata ya ufagiaji tu huko airtel apeleke malalamiko? Haiwezekani ka kitu ka GB 13 inasema masaa 39 na wakati kuna...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Kichwa cha habari chahusika. Natumia simu aina ya Tecno nashangaa nikituma msg yenye neno Sex message hiyo inafeli lakini msg zingne zote zinaenda hata niandike nini. Kuna...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Ni uelekeo upi king'amuzi cha azam kinaelekezwa kutoka kama na sehem ulipo? Ni muelekeo wa jua au?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Je ukitaka kutengeneza operating system ya cm kama ilivyo android naombeni mnisaidie ni hatua gani zinaitajika kutumika nakaribisha mawazo na ushauri wenu.
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Mimi ninasimu aina ya tecno w5lite,,tatizo haina nafasi imejaaa,,nimenunua memory card ya 16gb,,nimeweka tatizo inasema no space,, nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
636 Views
Wadau ninaomba msaada kila nikiinstall MX player kwenye simu yangu baada ya siku mbili,tatu inapotea kabisa tatizo ni nini! ninatumia Tecno w4
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nahitaji hii kifaa. Nitapata wapi hapa Dar? Kama unayo na huitumii naomba uniuzie.
4 Reactions
110 Replies
19K Views
Habarini wanajamvi. Natumia PC aina ya Toshiba lakini nikiplay nyimbo yeyote kwa kutumia program yeyote na nikiingia YouTube huwa sound haitoki kwenye PC yangu. Nikiplay wimbo kwa kutumia media...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi hakuna app ambayo inaweza kunisaidia kupost labda tangazo au any event kwenye Facebook group, mfano nina tangazo nataka nipost kwenye group za Fb tangazo moja nitume kwenye group labda 100...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Be educated with the electronic world! 1. *PAN* - permanent account number. 2. *PDF* - portable document format. 3. *SIM* - Subscriber Identity Module. 4. *ATM* - Automated Teller machine. 5...
3 Reactions
1 Replies
678 Views
Wakuu nimeibiwa simu mpya kabisa . Yani siku nimeinunua usiku ikaibiwa. Ni simu ya 1.7m. Siwezi sema ni aina gani mana uyo mwizi anaweza kuwa humu. Naombeni ushauri nifanyeje ili niipate. Polisi...
3 Reactions
85 Replies
11K Views
Kuna mashine natakwa kuwekwa windows ila hdd haisomi inaleta ujumbe huu hapo kama picha inavyoonesha natakiwa kufanya nini hapo cc @
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wakuuu Samahani naomba msaada kwa mtu alie DAR na ana FL STUDIO,nimejaribu kudownload site mbalimbali na inakua na reg keys ila nikiinstall inakua DEMO...kwaio NAOMBA MSAADA
0 Reactions
4 Replies
915 Views
Jamani nisaidien jinsi ya kuinstal os ya mc kwenye pc, i heard ts posbl!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu mdada (mtoto) abajiita Tunda Nation ninemkuta kule face book anauza simu kwa bei ya chini sana. Kwa mfano 1. Galaxy s6 ni 300000 2. Galaxy j7 prime 350000 3. Galaxy s7 kwa 250000 Jamani kwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Salama wakubwa...? Mimi nilikuwa naomba ushauri wenu na mawazo yenu mimi nimeanza kusoma kozi ya graphic and video pro..chuo kmoja hapa DSM,ndo kwanza nina wiki kama moja hivi sasa nacho omba...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom