Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu, Kwa wale wanaocheza pia hii game ya killshot bravo, natafuta alliance ya watanzania wenzangu kucompete against other players in the world
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau! PC yangu battery haipokei moto, yaan umeme ukikata na PC inazima utadhan desktop. Nashindwa kuelewa ni battery aw ni tatizo jengine tu tofauti. Kwa nnavofaham battery ikifa huwa kuna...
0 Reactions
9 Replies
819 Views
Mimi nina idea ya kile nataka kufanya ila sijui codes za kutengeneza app, so kama yupo mdau humu tukae nimpe idea tuone namna ya kufanya
0 Reactions
3 Replies
771 Views
Wandungu Ipi ni best kati ya note 4 Na j7 prime. Kwa wale wataalam wa simu msaada wenu tafadharii.
0 Reactions
1 Replies
813 Views
habari wadau natumia jelly bean version 4.2 ni rooted nataka ni upgrade kwenda version 4.4 kitkat ama v5 lollipop ama hata v6 mashamelow ikiwezelana msaada pls
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza inawezekana nikarekodi video screenyangu ya simu? namaanisha naangalia event live online kisha nairekodi wakati nikiwa naiangalia, inawezekana? na ni program gani au simu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu wa jukwa hili natafuta spy camera naomba msaada wenu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naitaji kudownload movie ila sijui naanzaje! Msaada plzz. Nawasilisha..
1 Reactions
2 Replies
538 Views
Ningependa ku share game fulani nilikuwa nikitengeneza, japo bado haijakmilika nina mpango wa kuiendeleza with time. kwa wale ambao wanaona wanaweza kusaidia development nawakaribisha sana. Here...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Laptop yangu Dell XPS L502 X, Core i7 Inaniletea message kuwa Hard Disk (Toshiba) ina matatizo. Na imekuwa slow sana wakati wa kuiwasha na kuitumia. Ninatafuta technician ataerekebisha haya: -...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu ! external drive aina ya transend imekua very slow kucopy files, file la gb 1 inachukua karibia nusu saa kucopy...nimeformat ila bado tatizo ni hilo hilo ! Msaada tafadhali..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Clean Chrome of Unwanted Ads, Pop-Ups, & Malware. If you're seeing some of these problems with Google Chrome, you might have unwanted software or malware installed on your computer: Pop-up ads...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Ni wazi kwamba kutumia https(ssl) kwenye website yako inakuwa ni vigumu sana kwa mtu kuweza kudukuu data baina yako wa watembeleaji wako kwenye website.. Ila Kuna Faida nyingi zaidi ya kutumia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi iphone kwanini zinauzwa bei kubwa sana huwezi linganisha na simu za android kipi utakacho kifanya kwenye simu ya Iphone kisicho kuwepo kwenye simu za androd kama ni mawasiliano yaleyale mm...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi naitwa Amani natokea Forum ya Teknolojia lakini leo nakuja kwenu kwa heshima na taathima nikiwa naomba msaada kwenu madaktari pamoja na watu wengine wote wenye mapenzi na...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Salama wadau Nina nia ya kusoma kozi ya Certified Information System Auditor(CISA). Nataka kujua Mahali zinakotolewa Review class na gharama yake kwa DSM vilevile na gharama za Mtihani.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Granted, it'll likely be years before any real conclusions can be made, let alone actual faster-than-light tests - not to mention that accelerating matter and accelerating light are two entirely...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Umeme ulikatika jana baada ya kurudi nikawasha nakutana na ujumbe huu kila nikijaribu naona mzigo umegoma hapa tatizo nini wazee wezangu naombaa msaada wenu kama picha inavyo onesha CPU NI DELL...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom