Wadau wa IT naombeni msaada wenu tafadhali nimesahau password na PIN ya pc yangu...naombeni msaada kwa yeyote mwenye ujuzi ili niweze ku unlock tafadhali
N.B PC NI YANGU WALA SIYO YA WIZI
habari za mchana wadau kiukweli mimi ni mwanafunzi wa sec na huwa natumia muda mchache wa likizo kufanya practical sasa nilikuwa nasoma web developing na nimefanikiwa kuelewa html,css,na...
Mimi ni mmoja wa wanaosafiri sana lakini tatizo ninalolipata ni pale ninapokosa fursa ya kuangalia luninga za Tanzania hasa nikiwa nje ya Tanzania.
Nimepata MXQ Pro Android TV Box ambayo...
wadau nina moderm ya tgo nataka ni unlock itumie line zote nitumie program gani,kwani nina Dc moderm unlocker nayo naitumia vp???????[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Hallow dear folks and technocrats.
Am looking for the Training Center or Institution in Dar es Salaam which is conducting review program or training on Certified Information Systems Security...
Habari zenu wakuu.
Nina memory ta tecno 4GB nimeitumia kwa miaka miwili.
Leo imenigomea baada ya kuituma kwenye subwoofer kwa siku kadhaa.
Iliku hai play nyimbo vizur ndio nilipoitia na kuiflash...
Nimekuwa nikihangaika sana nikinunua simu na charger yake hasa hizi mnazoita smatphone ndo napeta kitu kinacharge 30 min uko 100% ,sasa nikipoteza tuuu ukilaza wangu unaanza ninyanyasa mwanzo...
Hi all
Naleta kwenu hili swali ambalo nimekuawa nikisikia minogh'ono wakati niko mdogo kuwa
Eti kinyesi cha binadamu kina uwezo wa kizalisha nishati ya umeme je wana JF
Kuna uwezekano umeme huo...
Nimekua nikitumia simu yangu kwa muda wa miezi 11 sasa sija encounter any issue...Ila leo suddenly nimepata message toka Airtel kwamba simu yangu sio halali itafungwa within two days...Nimejaribu...
Soon, iPhones will block texts while driving
by Peter Valdes-Dapena and Heather Kelly @CNNMoney June 6, 2017: 4:01 PM ET
Soon, Apple will introduce a new iPhone feature that will do away...
wakuu
natumia laptop aina ya hp elitebook 6930p os ni win 8.1
hivi majuzi laptop yangu imekuwa inagoma kuwaka kwa kupitia power button lakini ukibofya info button inawaka na inaonyesha message...
Habari Wana JF
Katika Kujifunza Awali Ya Java Programming Nimeipenda Sana Ila Nakabiliwa Na Mapungufu Wengi Sababu Nikakosa Tutor Ambaye Atanielekeza Vyema.
Napata Shida Na Concept Muhimu Pia Na...
Wanajukwaa habari za muda huu. baada ya kuhangaika kwa muda na wezi wa kuku kwenye mabanda yangu, nikakutana na hiki kitu youtube. binafsi nafikiri kitakuwa cha msaada sana kama kitafanikiwa. vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.