Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wadau! Natumia solar ya mjerumani walt 50 kwa zaidi ya mwaka, solar battery ya maji. Cha kushangaza solar hii sipati umeme usiku, nikitaka kuchaji simu yangu na za watoto wangu inabidi...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Mwenye kujua programme inayoweza kutuma email na attachmet kwa pamoja naomba anisaidie.
0 Reactions
7 Replies
898 Views
Watafiti sasa wanaweza kuona jinsi gani ions zina ungana ndani ya Supercapacitors...na hii inamaanisha itabadili kabisa jinsi ya kuchaji vitu vya umeme. Ni miaka 200 sasa tangu betri ya kwanza...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mtu nilimwachia kompyuta yangu aina ya lenovo kwa muda, lakini alikuwa afahamu matumizi vizuri akawa anawasha vizuri lakini kwenye kuzima kompyuta hiyo alikuwa anazima kwa kutumia sehemu ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
inakuja December itakua na uwezo wa kua na ram hadi 128gb na storage 2tb ssd ina 18cores na itatumia processa ya XEON....naiita monster.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za jion wana jf Naomba mwenye kujua nmna y kutengeneza mic y hii cm maana nkipiga simu kwa whassap or viber or imo nazungumza na mtu vizur n ananisikia ila tatizo linakuja nikipiga simu za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Simu hai install apps.
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Hatua za kuanza kujifunza Computer Programming. Ndugu wasomaji, Watu wengi wanashindwa kujua waanzie wapi kuanza kujifunza programming au wanawezaje kuwa programmers wakisasa, hivo nafurahi...
15 Reactions
70 Replies
30K Views
Jamani kama kichwa cha habari kisemavyo ningependa kuendelea kutumia simu yangu Samsung Galaxy Note3 ilifungwa na tcra nasiki upo uwezekano wa kuifungua na kutumia tena
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Oya member naomba mniambie maujanja gani naweza kuyafanya katika simu yangu ikaonekana tofauti na ambavyo ilikuwepo ikiwa mpya? Maana naskia mtu unaweza kuifanya simu yako ambayo inasaport 3G...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Darknet sio sehem ya kuuziana madawa ya kulevya ama silaha tu kama watu wengi wanavyodhani bali ni soko ambalo kuna bidhaa zisizo halali na zilizo halali Ndugu zangu wana tech, je kuna mtu amewahi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa namna ya kujua password yangu humu JF, au kuunda nyingine tafadhali
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hbr waungwana ni app gan naweza pata seasons for free
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wana tech...naomba msaada ninaflash yang imegoma kuformatika...inaniandikia window canable to complite the format. Nitumie njia gn ili kuformat flash zilisho shindikana?
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Wanajukwaa wenzangu kwanza niwasalim kwa jina la Mungu aliye hai.Walioko katika mfungo wa mwezi mtukifu wa Ramadhani RAMADHAN KAREEM Nina sim yangu Tecno w3lte inanichanganya hapa.Nimeweka...
0 Reactions
2 Replies
729 Views
Amani iwe kwenu Nimewekeza kwenye biashara ya stationery kiasi fulani inalipa ,ila nataka kujitanua zaidi Naomba anayejua ni programu gani(soft ware inayotumika kutengeneza vitambulisho kwa...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
wakuu samahanini natumia tecno G9 na tatizo nililonalo ni simu yangu kwenye app ya facebook haina sehemu ya GO LIVE pamoja namimi ku update imekataa najiuliza kwanini?najua humu hakishindikani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Husika Na kichwa cha habari hapo juu. Kama Kuna mtu anaweza kuipata plz tuwasiliane pm then biashara ifanyike
0 Reactions
4 Replies
959 Views
wadau nahitaji fundi anaeweza kurepair na kufanyia service Photocopier machine aina ya Cannon na Toshiba yeyote anaeweza ani PM kwaajili ya mawasiliano.
0 Reactions
3 Replies
926 Views
Naomba kwa anaejua anielekeze vizuri ninaihitaji sana account ya paypal
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom