Mamlaka za Japani zimeshikilia kijana wa miaka 14 Osaka, mji wenye bandari kubwa, kwa kutengeneza na kusambaza kirusi aina ya ransomware.
Hii ni mara ya kwanza kwa Japani kukamata watuhumiwa...
wakuu habari zenu naomba msaada wenu nina simu ya tecno c8 haisomi 3g ingawa eneo nililopo kuna 3g ya tigo na natumia line ya tigo nikitoka hapa nikaenda mjini inasoma 3g tatizo ni nini?simu...
Tafadhali mwenye msaada na jambo hili:
Kuna pc hapa hp (laptop) ilikuwa inaleta BOOTMGR missing, press cntrl +alt+del to restart. Lakin kila nikifanya hivo ilikuwa inajirudia BOOTMGR missing...
Wataalam nisaidieni,nilikuwa natumia wireless connection ya internet kutoka simu yangu Tecno M3 kwa laptop yangu kwa kutumia WI-FI lakini nashangaa sasa hivi inanigomea.
Habari wana JF
Nataka kununua bluetooth kwa ajili ya simu yangu.
So naomba kwa yeyote ambaye anaufahamu kuhusu hiki kifaa anifahamishe..
Aina ya bluetooth...
Wasalaam...Sijui kama kichwa changu cha Uzi kitakuwa kimeeleweka ila nilikuwa naomba msaada wa kuelekezwa Jinsi ya kutengeneza Kitu kama file ili nikiprint kiwe sawa sawa
Yaani labda tuseme...
Nina pc angu aina ya hp imeniletea BOOTMGR missing, press cntrl +alt +del to restart. Lakin nimefanya hivo inarudia hivohvo. Tafadhali mwenye ufahamu anisaidie
grup mpya bado ya mambo ya arduino kwa wauzajii hizi products, projects zake na mengine mengi tumia na share hii link
Arduino4Us Forum
Kwa tuanaopenda kujifunza, kuuza na kupata taarifa na project...
Wakuu poleni na majukumu.
Jana TV yangu ilianguka na kuonyesha mustari kwenye screen yake kama inavyoonekana. naombeni ushauri kama kioo kinapatikana pia mwenye nacho tuongee aniuzie
Picha...
Naomba msaada wa link ya kupata app nzuri ya kueditia video
Km movie
Nyimbo
Harusi
Nk.
Ile rahisi kutumia na iwe free..
Ahsanten naomba kuwasilisha ombi langu mezani.
Hp...window 7
Ni rahisi tu, whatsapp inahitaji iOS 4.3 kufanya kazi na iphone 3G imeishia iOS 4.2.1 tu.
Unaweza kubadilisha iOS 4.2.1 kwenda iOS 4.3 au ya mbele zaidi, kwa kuinstall iFile na ku-access files...
Wakuu Naomba kujuzwa huu utaaalam process yake inakuaje na nini Faida yake na kwa laptop ambayo inasumbua program ya wireless connection na USB linakua kimepona ? Karibuni mafundi wakongwe
Kampuni ya Apple imesema kua update watakayoitoa ya ios 11 itakubali kuanzia iphone 5s kupanda juu kwasababu Apple inaachana na mfumo wa kuprosess apps kwa kutumia 32bit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.