Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nisaidieni jinsi yakutoa his ad jaman
1 Reactions
1 Replies
543 Views
leo wakati najiunga kifurushi tigo nikaona menu mpya ya vifurushi vya whatsapp 1000 kwa wiki 2000 kwa mwezi kwa ambao wanavitumia ni unlimited? unaweza kudownload picha na video au ni...
3 Reactions
58 Replies
10K Views
wakuu, nahitaji kununua tv LG smart 43' naomba mniokoe kabla sijala hasara make nategemea itanitoboa mkwanja mrefu. je nitumie maujanja gani nisibambikwe tv fake?
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habar wanajamvi naombeni msaada wenu katika kujuwa ni aina gani ya router ni bora kwa matumiz ya kioffice naomba ushauri wenu
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Tecno m5 inashindwa kumaliza booting, nimefanya hard reset mara nyingi bila mafanikio........ msaada kwa anayejua njia mbadala
0 Reactions
1 Replies
518 Views
Tecno m5 inashindwa kumaliza booting, nimefanya hard reset mara nyingi bila mafanikio........ msaada kwa anayejua njia mbadala
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Nck Hua dongo Advance box (atf) Infinity box Z3x DC unlocker Gpg dragon Volcano box Sigma box +255763949447
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mweny jailbreak tool for iPhone 7 amby infany kazi anisaidie tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
519 Views
Habari zenu wana jamvi naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuanzisha APP ya wafanya biashara kama vile kupatana.com naomba kujua jinsi ya kuendesha hiyo app na pia naomba kujua ni faida gani...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari wakuu, Hivi ni mitandao mingapi hapa Tanzania ishatoa API zao kwa developers kuzitumia? Nitashukuru kama mtanipa na link za wapi pa kuzidownload. Thanks
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Habari za jioni ndugu zangu,naomba tujuzane nikitaka kutambua simu original aina ya Samsung nifanyeje tafadhari nisije ingia mkenge
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu habari, Siku hizi kuna simu nyingi sana ambazo ni clone ya simu original, nyingi ikiwa ni za samsung... Juzi kati niliona moja ambayo ni ya samsung galaxy note 3, nilishangazwa kuona jinsi...
3 Reactions
69 Replies
19K Views
Walisoma itatoka Q2. Mbona hakuna updates?
0 Reactions
5 Replies
759 Views
Mbinu ya 'Mouseover' inategemea watumiaji (users) kuhover juu ya maandishi & picha zenye hyperlink, kwenye mafaili ya Microsoft PowerPoint ili kuingiza Trojan. Shambulio la Mouse Hover...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wana jf mwenye key za SQL DATABASE STUDIO anisaidie nimeinguia hapa nimekwama ndugu zangu SQL Database Studio - download
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Biashara nyingi duniani zinaendesha kwa propaganda. Kwa mfano Samsung s4 ukiisoma kwenye mtandao wanakuambia inakaa chaji masaa 17 kama unaongea na mtu. Lakini tukija kwenye uhalisia hiyo simu...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Phone Number Generator Inagenerate namba za simu za mitandao Tigo, Airtel, Vodacom, TTCL, Halotel na Zantel. Features: 1) Unaweza kuchagua mtandao unaoutaka ikugeneratie namba zake. 2) Unaweza...
3 Reactions
86 Replies
8K Views
Leo nilikuwa najaribu kutembelea baadhi ya tovuti za serikali na moja ya tovuti ambayo nilitembelea ni tovuti ya utumishi wa uma, nilichokutana nacho huwezi amini kama hii tovuti inamilikiwa na...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
JIPATIE KEYBOARDS NA ADAPTER ZA LAPTOP ZA KILA AINA.. KEYBOARDS............45000 TU ADAPTERS...............25000 TU PIGA SIMU NAMBA 075267766 AU PM
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Kuna ulazima wowote wa ku download na kutumia launcher kwenye android. Na kunafaida gani ukitumia.Je android inahitaji antivirus & cleaner app kama ndio faida yake nini na ni app gani zinafaa.Asante
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom