Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
UPDATE: Kwa maelezo zaidi juu ya program hii tafadhili tembelea www.shulemax.co.tz au nipigie/sms/whatsapp kwa namba 0757449054 KUNA TOLEO JIPYA LA HII PROGRAM FUTATILIA HAPA...
5 Reactions
43 Replies
15K Views
habari wakuu simu yangu ilikua iko sawa,ila kwa sasa nikiiwasha haifiki kwenye Menu,inanilazmisha nitumie WI-FI nikiwasha WIFI inaniambia niingize gmail,,nikiingiza inagoma msaada tafadhali, ni...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Project zinazofanywa Vyuoni haswa kwa kada za Uhandisi (Engineering) kufanywa na wanachuo ni kuongeza uwezo wa kubuni vitu mbalimbali ambavyo vitasaidia Taifa kwa ujumla na kuongeza kasi ya Ukuaji...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nina simu Tecno W4 ambayo ilijizika ghafla ,nikapeleka kwa fundi wa software lkn haikuzaa matunda akawa kashindwa ,nikapeleka kwa fundi wa hardware akaniambia betri lake lipo full pia halina...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina laki mbili Wakuu nishaurini ninunue Sim Gan je infinix zimeshaingiia Tanzania Maana naziona kweny mtandao. Asanteni
1 Reactions
79 Replies
12K Views
Kuna njia nyingi za kuongeza like ila hii nayo kiboko. Ongeza like nyingi facebook kwa kutumia app ya dj liker hii app haipatkan playStore ili kuipata hii app itakulazimu uingie google na kuandka...
0 Reactions
19 Replies
14K Views
habari samahani samsung s4 inashida ya kukata mtandao na kuanda Inset sim card na uki listat ina kua sawa bt baada kama dakika 5 tatizo linaludi tena.nn shida
1 Reactions
9 Replies
981 Views
Salama humu natumaini wazima wote nimeleta uzi huu tushauriane nakupata nawazo mapya yanayohusu Graphic & Video Pro...mimi ni mmoja ya vijana ambao nasoma kozi inayohusu mambo hayo ndo kwanza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Wakuu Anayehitaji Propeller Ads (Inadollar 49 Ndani yake) au Kama Unataka Grups za South Active zipo Nicheki kwa Bei Nafuu sana 0716 48 3005
0 Reactions
5 Replies
872 Views
Naomba niulize najua humu kuna developer wengi WA games Mimi Ni mpenzi WA unity ILA sijui c# najua c&c++ pamoja na OpenGL library naitaji kufanya modeling za game assets najiweza kwenye blender...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuanzisha APP ya wafanya biashara kama vile kupatana.com naomba kujua jinsi ya kuendesha hiyo app na pia naomba kujua ni faida gani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Watafiti sasa wanaweza kuona jinsi gani ions zina ungana ndani ya Supercapacitors...na hii inamaanisha itabadili kabisa jinsi ya kuchaji vitu vya umeme. Ni miaka 200 sasa tangu betri ya kwanza...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Khalil Shreateh ni mtafiti wa ulizi wa mtandao, aligundua udhaifu wa security ya facebook mwaka 2013 na kudukua (Hack) account ya Zuckerberg na kupost kwenye timeline yake. Sikiliza anavyo simulia.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Msaada wa ku unlock Huawei E5573 wifi router
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari CS & IT,Nna modem ya AIRTEL nataka nitumie kwa LINE ZOTE(mitandao yote) ntumie njia gan? Msaada tafadhali, natangulza shukran!!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
siku ya Jumamosi 17-6-2017 Tutakuwa Mikadi beach Kigamboni tutatoa huduma ya ku unlock simu zinazotumia sim1 mtandao mmoja (Yaani za promosheni) kwa bei ya Tsh5000 tu, Pia tutatoa Lock Roter za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu nahitaji microsoft office 2007, kwa mwenye nayo tafadhali msaada
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu simu yangu mpya aina ya Tecno 342 ina niandikia Invalid sim kwa Laini ya tigo tu huku laini Zingine Zikikubali kama kawaida nini tatizo? Wakuu ni 349
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wanajamvi cm yang TECNO C8 inastack WhatsApp, inagoma kudelete groups chats even to delete group inagoma inaniandikia"unfortunately WhatsApp z not responding"WHAT SHULD I DO PLZ!!!
1 Reactions
8 Replies
737 Views
Hbr wana jamvi! Nataka ni upgrade video card ktk Pc yangu ya Dell Optiplex 790 i7 kwa ajili ya graphics hivyo basi naombeni ushauri wenu ni VIdeo card ipi ni nzuri lkn iwe ya VRAM 1GB ama 2GB...
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Back
Top Bottom