UPDATE: Kwa maelezo zaidi juu ya program hii tafadhili tembelea www.shulemax.co.tz au nipigie/sms/whatsapp kwa namba 0757449054
KUNA TOLEO JIPYA LA HII PROGRAM FUTATILIA HAPA...
habari wakuu
simu yangu ilikua iko sawa,ila kwa sasa nikiiwasha haifiki kwenye Menu,inanilazmisha nitumie WI-FI
nikiwasha WIFI inaniambia niingize gmail,,nikiingiza inagoma
msaada tafadhali, ni...
Project zinazofanywa Vyuoni haswa kwa kada za Uhandisi (Engineering) kufanywa na wanachuo ni kuongeza uwezo wa kubuni vitu mbalimbali ambavyo vitasaidia Taifa kwa ujumla na kuongeza kasi ya Ukuaji...
Nina simu Tecno W4 ambayo ilijizika ghafla ,nikapeleka kwa fundi wa software lkn haikuzaa matunda akawa kashindwa ,nikapeleka kwa fundi wa hardware akaniambia betri lake lipo full pia halina...
Kuna njia nyingi za kuongeza like ila hii nayo kiboko. Ongeza like nyingi facebook kwa kutumia app ya dj liker hii app haipatkan playStore ili kuipata hii app itakulazimu uingie google na kuandka...
habari samahani samsung s4 inashida ya kukata mtandao na kuanda Inset sim card na uki listat ina kua sawa bt baada kama dakika 5 tatizo linaludi tena.nn shida
Salama humu natumaini wazima wote nimeleta uzi huu tushauriane nakupata nawazo mapya yanayohusu Graphic & Video Pro...mimi ni mmoja ya vijana ambao nasoma kozi inayohusu mambo hayo ndo kwanza...
Naomba niulize najua humu kuna developer wengi WA games Mimi Ni mpenzi WA unity ILA sijui c# najua c&c++ pamoja na OpenGL library naitaji kufanya modeling za game assets najiweza kwenye blender...
Habari zenu wana jamvi naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuanzisha APP ya wafanya biashara kama vile kupatana.com naomba kujua jinsi ya kuendesha hiyo app na pia naomba kujua ni faida gani...
Watafiti sasa wanaweza kuona jinsi gani ions zina ungana ndani ya Supercapacitors...na hii inamaanisha itabadili kabisa jinsi ya kuchaji vitu vya umeme.
Ni miaka 200 sasa tangu betri ya kwanza...
Khalil Shreateh ni mtafiti wa ulizi wa mtandao, aligundua udhaifu wa security ya facebook mwaka 2013 na kudukua (Hack) account ya Zuckerberg na kupost kwenye timeline yake. Sikiliza anavyo simulia.
siku ya Jumamosi 17-6-2017 Tutakuwa Mikadi beach Kigamboni tutatoa huduma ya ku unlock simu zinazotumia sim1 mtandao mmoja (Yaani za promosheni) kwa bei ya Tsh5000 tu, Pia tutatoa Lock Roter za...
Wakuu simu yangu mpya aina ya Tecno 342 ina niandikia Invalid sim kwa Laini ya tigo tu huku laini Zingine Zikikubali kama kawaida nini tatizo?
Wakuu ni 349
Wanajamvi cm yang TECNO C8 inastack WhatsApp, inagoma kudelete groups chats even to delete group inagoma inaniandikia"unfortunately WhatsApp z not responding"WHAT SHULD I DO PLZ!!!
Hbr wana jamvi!
Nataka ni upgrade video card ktk Pc yangu ya Dell Optiplex 790 i7 kwa ajili ya graphics hivyo basi naombeni ushauri wenu ni VIdeo card ipi ni nzuri lkn iwe ya VRAM 1GB ama 2GB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.