Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina shida na display ya Tecno W5, simu yangu imeharibika display so kama kuna fundi anaweza kufix tatizo hili anijuze bei ya matengenezo na sehemu alipo but iwe within Dar-es-salaam.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu msaada kwa anaefahamu TTCL mobile (CDMA) internet settings. Nina router inayotumia CDMA sim card ambayo haikutoka TTCL kwa hiyo haina settings. Kama una modem ya USB unaweza kuzipata...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Wadau habarini za muda. Naomba msaada wenu kwa wiki moja sasa nashindwa kuangalia chochote youtube, inanijibu connection to server is lost. Msaada wa haraka jamani kuniokolea jahazi hili wadau...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
wapi naweza kupata vifaa hivi kwa Arusha au Moshi? kama unajua na bei nijuze tafadhali?
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari zenu wadau wote wa JF, poleni kwa majukumu ya hapa na pale. Samahani kwa usumbufu wanachama wenzangu wa Jamii Forums ila naomba kufahamishwa ni application ipi nzuri kwa kupata sim ilioibwa...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Naomba kuelekezwa jinsi ya kuspy simu ya mtu bila yeye kujua.
0 Reactions
7 Replies
905 Views
Habari. Hii application nime download, ipo katika simu yangu na nimejaribu kuitumia sioni mafanikio. Je kuna mtu amfanikiwa kutumia application hii anipe uzoefu. Thanks
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Namna ya kufanya screen shot kwa simu ya Tecno Y -6
0 Reactions
3 Replies
654 Views
Baada ya kupokea Simu na PM nyingi watu wakiomba Settings za Mitandao mingine kam niliyoitaja hapo chini nimeona nishare nanyi jinsi ya kupata hizo settings ambazo zitakufaa kulingana Mtandao...
2 Reactions
43 Replies
23K Views
Msaada ndugu audio music downloader ambayo inatoa na lyrics?
0 Reactions
3 Replies
716 Views
Wakuu habari za leo. Ninaomba msaada kwa wataalamu wa haya mambo mliopo humu jamvini mnisadie kunfahamisha jinsi ya kuflash/unlock HSPA USB Stick (modem/mobile broadband) aina ZTE
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Hii ni smartphone ya Halotel ambayo nilinunua mwanzoni mwa mwezi wa 12/2015 mpaka leo naitumia uzuri ukiipiga charge ikawa full unaweza naenda nayo hadi 3 days huku ukitumia internet ndo battery...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari jaman Nna tatizo katika simu yangu yaani kila application nayoinstal inagoma inaniambia parsing error problem package ...nmefanya hadi factory resert still yaleyale nfanyeje jaman???
0 Reactions
3 Replies
709 Views
Nina tecno yangu L5 nilikuwa nimesahau pattern nikawa na reboot nikahold volume na power off batani saiz inaniandikia fastboot method ndo imeganda hapo hapo naitaji msaada tafadhali
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kuna iPhone 4s inazngua ukimpgia mtu akpokea humsikii na hata yeye hakusikii, ila cha ajabu nkitumia whatsApp call inaongea fresh tu na tunaskilizana' Kuna mtu alinambia tatzo...
0 Reactions
2 Replies
785 Views
Naombeni mwenye ujuzi wa kutoa hizi pin lock za simy za tigo itumie laini zote. Simu ni tecno N8 6version
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Salaam zenu wana jf naomba mwenye utaalamu na uelewa wa faida na hasara katika utumiaji wa software inajulikana kama enterprise resources planning(ERP) kwenye matumizi ya biashara ndogo na za...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam wadau... Nilinunua tablets online from somewhere ulimwenguni... Ina display safi, internal memory 16GB, main memory 1GB Problems 1) Ina load slows na ku crash often times pale unapo...
0 Reactions
2 Replies
645 Views
screen yangu imearibika ilianguka.. kubadilisha screen pamoja na matengenezo inaweza kuwa shilingi ngapi kwa anayejua?????
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Have you ever heard the terminology?..is there any sense you acquire when you come up on it ?? It is good whatever you do about it.LOGISTICS is applied in every day of our life,and good enough is...
1 Reactions
4 Replies
935 Views
Back
Top Bottom