Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Iphone 4s kioo kimevunjika inawaka lakini screen ni black mwanga unaonekana. Wapi kuna mafundi wa kunibadilishia.?
0 Reactions
2 Replies
861 Views
wakuu heshima zenu muda mwingi sana watanzania wamekuwa wakiihitaji kuingia katika soko la kimtandao dunia nzima but tatizo limekua ni kwamba option iliyopo ya online money transfer ni crdit card...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
ni ipi kazi ya benzini au pertol kwenye sackit
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za mida hii Wakuu, Wajuzi na wataalamu ndani ya JF....!!? NAOMBENI MSAADA WENU JAMANI, Dogo katika kuchezea chezea Kompyuta (akijivinjari na Games) amejikuta AMELOKI KIBODI UPANDE MMOJA...
0 Reactions
6 Replies
737 Views
Nawasalimu Jf. Kuna tatizo naona laptop yangu inakuwa nzito sana kuliko kawaida. Namaanisha inafanya kazi kwa speed ndogo sana kuliko kawaida yake. Halafu nikiwa mtandaoni inasumbua pia. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
588 Views
Hivi wakuu nikitaka kuunganisha receiver ya Q23Sat nitumie wifi au moderm nafanyaje! Hapa kuna mambo mawili ya kujifunza Jinsi ya kuunga USB Modem katika qsat Jinsi ya kuunganisha wifi katika...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Instruction 1. Create an Account there http://kaspersky.proguide.vn/dang-ky/ 2. Confirm the account with the e-mail they send you. 3. Go this link...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wadau Hv kamera gan ni nzur kati ya cannon na sony na zinatakiwa ziwe na D ngap ? Na bei zake zinasimamaje ??
1 Reactions
15 Replies
5K Views
heshima kwenu wakuu ningependa tutumie uzi huu kuambiana game kali za pc ambazo zina support usb joystick as ina raha yake kutumia padi tofauti na keyboard: 1.pes 2013 2.fifa 2013 3.gi-game la...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
nimedownload game lake limeandikwa PTE Patch 2017 2.0 ndani kuna vipande vitatu msaaada jins ya installation
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habarini wana jukwaa, naomba kuuliza bei ya betri ya pc aina ya dell
0 Reactions
4 Replies
975 Views
Nimetapeliwa 17000 akidai anauza akaunti yake ya instagram jamani naomba ushauri wenu ni mfanyeje huyu mtu namba zake ninazo nikimpigia anakata simu.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habar waba jamvi, nina sim yangu moja aina ya tecno M3, nikiiwasha haimalizi kuwaka inaishia tu kwenye neno tecno halafu inaganda apo apo, sasa kwa anaye elewa tatizo nn naomba anisaidie. chief...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nataka kuweka call barring for all incoming call na sms lkn nimeshindwa nimewacheki watoa huduma halotel wanazingua tu je code ni zipi kwa wenye maujuzi haya
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Habari wadau; Wapi naweza kupata kioo cha laptop HP 6930p kwa bei nafuu(hata cha mtumba). Kwa anayefahamu tafadhali, naomba msaada.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani nmenunua sm kutoka tigo shop,sasa nataka iwe na uwezo wa kukubali line zote maana line moja inakubali tigo na line 2,inakubali line yoyote shida ni kwamba 3g,ipo line one tu ambayo ndo tigo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jumatano iliyopita nilisajili laini ya ttcl kwa wakala wa kwenye magari yao lakini laini ilikuwa inasoma emergency akaniambia badaeeee itasoma lakini taarifa zangu zinafanyiwa kazi lakini kimya...
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Habari wakuu, Nilikua naangalia live launch of One Plus 5 ambayo imefanyika mda mchache uliopita nchini China. And kwa nilichokiona hii ndo inaweza kuwa simu bora kwangu kwa mwaka huu kutokana...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani hii simu muda wote inaandika emergency calls only nimeona solution yake ni ngumu kuipata now natafuta saketi ya hii simu ni samsung ya korea ,naombeni mwenye saketi tuwasiliane popote alipo...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Hii ni simu ilikuwa ikiandika emergency cally only nilikuwa naflash then inarudi ktk khali yake lakini leo hii nimeiflash tatizo liko pale pale , Nimeweka firmware tofauti tofauti lkn ugonjwa ni...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom