Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ninafanya research kuangalia kama simu za X-Tigi zina market. Kuna mtu ambao ana hii simu? Experience yako vipi?
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Wana Umeme, Automatic Transfer Switch ATS ni ipi Ni kiwa na Maana ATS inaweza Kutransfer load from one source of power to another whether Utility au Backup power Nataka Kujua Je ATS inapofanya...
0 Reactions
2 Replies
525 Views
wakuu naomba kujuzwa ni app ipi ambayo hurekodi sauti kisha kuibadili kuwa subtitles hapo hapo.
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Simu Za tecno Ndizo zinazoongoza kwa matatizo matatizo ya upande wa software and hardware mara haiwaki mara not responding mara betri idiscending wakat wa kuichaj badala ya ascending mara ichelewe...
9 Reactions
127 Replies
11K Views
Je, kati ya Tecno: y4,y6, c9,c10, j8, j9 na j10 ipi ni simu bora zaidi?
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu ninaomba kufahamishwa jinsi ya kutambua Samsung na iPhone ambazo ni fake maana kumekuwa na janga sana la simu fake mtaani hususani brand hizo mbili
0 Reactions
1 Replies
1K Views
droidvpn inakubali kuconnect na kuniambia successful lakn siwez kubrowse kakika internet. msaada kwa anayejua jins ya kutatua hili tatizo
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,mimi ni mpenzi wa simu za nokia(smartphones). baada ya kutumia window phone kwa muda mrefu mwaka huu nimeamua kuachana na hii jela ya mateso(window...
2 Reactions
69 Replies
8K Views
Hv ushawahi kujiuliza kuwa una weza cheza fifa 17 pc game bila hata ya kuwa na hiyo fifa 17??? Hv mnajua kuwa akuna crack ya fifa 16, au 17??? Hv ushawahi jiuliza kuwa unaweza upgrade fifa yako...
1 Reactions
53 Replies
8K Views
Haya sasa wakuu, trick hii hapa, I had to record my own phone kuonesha haya maujanja...
0 Reactions
2 Replies
953 Views
Wakuu salaam. Nawezaje kupata Domain name ya uhakika for free or kwa pesa kidogo sana na kwa haraka ili kutengeza website ya advertisement?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, TCRA naomba watueleze kwa nini mtambo wao umeshindwa kuzitambua simu feki tajwa hapo juu? simu hizi Sony Z4,Z5 ni feki zipo kwenye soko muda mrefu, wapigaji wanaendelea kuziuza kama...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
simu hizi pia zina specifications kubwa na gharama ya midrange
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari wanatekinolojia Naomba kufahamishwa namna ya kuondoa baadhi ya application ambazo zimekuja na simu (built in apps) mf facebook na zingine kwani naona zinachukua nafasi wakati sijawahi hata...
0 Reactions
9 Replies
910 Views
Habari mwenye ujuzi wa kuremove icloud katika iphone tafadhali hasa hasa iphone 5s..
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari wana jf naomba msaada wa namna ya kudownlod na kuweka Windows mobile kwenye cm ya android
0 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari zenu wadau Tafadhali naomba mniambie, au muweke link hapa niweze download hiyo application iliyotajwa hapo kwa heading. Thanks
5 Reactions
77 Replies
21K Views
Wakuu msaada apo Ipi ipo juu Kati ya izo Sim mbili
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau naombeni kujulishwa namna ya kutengeneza link ya wasapu kwa anaejua tafadhali
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habri hii simu ikivunjika kioo(vyote viwili) na ikabadilishwa (sio vipya ). Sasa ikawa ina matatizo mawili moja ukipigiwa inajiweka katika loud speaker na anaekupigia hakusikii...
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Back
Top Bottom