Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habar zen jf,naomben msaada wa kunisaidia kupata app ya kijanja ambayo inalingana na playstore
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina simu aina ya V- fone nahitaji kupata betri yake naweza pata wapi hapa dar?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nilikuwa na google adsence account youtube channel , baadaye nikapata wazo la ku upgrade wakaniambia lazima niwe na top domain nikanunua godaddy kisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari ya humu wakuu..., Msaada kwa anafaham antivirus nzuri inayopatikana play store anisaidie kunifahamisha.
0 Reactions
4 Replies
784 Views
Poleni na majukumu Kwa wale wataalam wa app na programming nisaidie wapi pa kupata activation key za euro truck 2. na pia jinsi ya kupata na ku enable bluetooth kwa laptop yangu. asanteni
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Jipatie device za kucontrol attendance za wafanya kazi 150,000 kwa zile za USB disk tu 350,000 kwa zile za Internet na software Ni pm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama Tittle Inavyojieleza, Kwa Yeyote Mwenye Ujuzi na Hayo Mambo, Naomba Ani Pm Now.. Natanguliza Shukrani.
2 Reactions
3 Replies
834 Views
Nataka jibu kwa anaefahamu kipi sababu ya hii tv kutokuwepo kwenye king'amuzi cha dstv?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mashine ya kukoboa kawaha ya kuundwa inatumia petrol sio kusukuma pedeli tena check us in 0755 161 970 kwa kuweka order
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanandugu Nina Shida ya Haraka i hope kuna wazoefu hapa sasa kesho nina Paper la Civil Engineering Drawings sasa ukiachana na kuchora kuna Mambo kidogo hatukuwekewa wazi kama ifuatavyo. 1.To find...
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Katika pita pita nimeona hii website nimetokea kuvutiwa nayo sana ni website toka nchini kenya nahitaji niwe nafanyia manunuzi humu badala ya eBay msaada aliyewahi kuitumia anisaidie na ushauri...
0 Reactions
2 Replies
746 Views
Jaman nina simu tecno j8 mwanzo ilikua inakaa na chaj sana sasaiv kwa siku nachaaj ata mara 3 shida ni kwamba betri ake imetengenezewa kwa ndani jeh naweza kuibadl kuweka mpya .
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Nimeona mijadala mbalimbali ya ndege na baadhi ya changamoto za kutua au kupaa. Swali langu ni kuwa je kuna uwezekano baada ya ndugu kugusa ardhi ikaunganisha na kupaa tena. Yaani kwa mfano...
1 Reactions
67 Replies
8K Views
Habari zenu jamani natumia samsung ndogo lain moja nikaweka call barring ila sasa kila nikijaribu kutoa haitoki inaandika invald password msaada jaman plz mwenye ufahamu pz
0 Reactions
18 Replies
17K Views
Kwenye windows bonyeza Windows key + R , kitatokea kiboksi - we andika 'regedit' (bila kuweka ' '). Itafunguka Registry Editor, sasa ingia na kuanza kutafuta hapa: HKEY_CURRENT_USER\Control...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, Kuna jamaa anauza Acer Chromebook 15 CB3-532 C47C kwa shillingi Laki 3. Nimepata wazo la kuinunua. Naomba ushauri wenu kwamba vp kwa bei hiyo inalingana na thamani ya PC...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye box tajwa hapo juu anitafute 0714160121
0 Reactions
2 Replies
639 Views
Mapinduzi makubwa ya teknolojia yamepelekea mambo mengi kufanyika kwa uhakika zaidi, unaweza kufahamu nyendo za mwenzako, mahali alipo na hata kufahamu muda husika bila ya yeye kufahamu. Sasa...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Nilifanya factory reset huku simu ikiwa kwny charge,ghafla umeme ukakatika huku sijamaliza zoezi,simu ikazingua kabsa,lkn nilifanikiwa kuwasha lkn imekataa kabisa kusoma mtandao.msaada wenu wajuzi
0 Reactions
4 Replies
708 Views
Jamani naombasaada wa kuipata link ya tomabo
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Back
Top Bottom