Sim yangu aina ya Tecn-w3 imejifunga simcard no 1,nimejaribu kuingia kila eneo kwenye settings lakini nimeshindwa kugundua tatizo ni nini,airplane, mode zimefungwa,lakn line 1 haisomi,naombeni msaada
Jaman nina simu tecno j8 mwanzo ilikua inakaa na chaj sana sasaiv kwa siku nachaaj ata mara 3 shida ni kwamba betri ake imetengenezewa kwa ndani jeh naweza kuibadl kuweka mpya <br />.
Wakuu habari za mchana samahani kwa kuwasumbua ni hivi katika pilikapilika za eid mosi mnamo jumatatu nimeangusha simu yangu samsung galaxy s6edge plus.Nataka nijue je kuna uwezekano wa kuipata...
Jamani Leo nimeshuhudia live kua mawazo ni mabaya Sana Nilikua nawaza kununua Sim lengo nipate aina bora Sasa nishaurini Wakuu wazee vijana wenzangu. Kati ya hizo nikabebe Ipi?
nisaidieni namna ya kuactivate window bila kununua, window ilicorrupt nikapiga nyingine sasa wananiambia inactivate ni window 10 Pro.
Siwezi kuinstall program yoyote zinakataa au ilo ni tatizo...
Kwa mahitaji ya king'azi vya aina zote
kufunga dish(installation)
kufunga tv ukuta(tv set up)
kurudisha signal zlizopotea
Tupo Magomeni Mapipa
kwa maelezo zaidi 0652170490
Habari wanajamiiforums nina mota ambaye inatumika kwemye single phase na ina rpm 2800 (mizunguko 2800 kwa dakika).
Nataka niitumie mota hiyo kwenye mashine ambayo yenyewe inahitaji mota iwe na...
Nataka na natamani sana kuwa software developer na kwasasa najifunza C programming language naombeni muongozo wenu wa namna au hatua za kutengeneza software nataka nianze kutengeneza SIMPLE...
ASTRAL PROJECTION/Mental
Projection...... Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na
Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani
Husemwa Kiroho...
Utokaji huu wa nje ya mwili upo wa
aina mbili au tatu na wenyewe ni wa...
Habari Wakuu,
Nina Tablet ya HUAWEI inatatizo la kutokujaa chaji,
Pindi niiwekapo chaji ikifika kwenye asilimia 52 kiasi cha chaji huwa hakiongezeki tena ,
Msaada wakuu
Jinsi ya kuirekebisha.
Wakuu msaada wenu Juu ya app ya music powerap nimekuwa nikitumia lakini ina isha baada ya wiki 2 sasa nimeipenda sana lakini sijawahi kununua wala Sina acount ya PayPal zaidi ya Tigo airtel pesa
Habarini ndugu wananchi.....
Mtandao wa kijamii Telegram(wenyemfanano na Whatsapp) unakumbana na kesi yakuhusika na mlipuko uliotokea huko Urusi.....
Vikosi vya ulinzi vinautaka mtandao...
Wadau naomba msaada kwa dar wapi nitapata betri nzuri kwa Samsung note 4 niliyonayo haicharge tena yani unakuta ipo full lakini ukiwasha haiwaki kabisa. Nikijua na bei itakuwa vizuri sana.
Habari zenu wana Gadgets!,
Poleni na majukumu yenu ya kila siku!
Dhumuni au lengo la kuandika uzi huu ni kuwa risiva yangu aina ya Srt 4663x ilipigwa na radi ikaunguza Ac na kusababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.