Nna S4 imekufa mashine na fundi kanambia haiwez pona ila screen na vitu vingne vyote vizima, so km kuna mtu ana s4 ilokufa kioo aniuzie mashine au km kuna mtu anataka kioo cha s4 nimuuzie mm
Leo nimeingia ebay kununua motherboard ya laptop Toshiba Satellite pro A120, nikaipata inauzwa dolla 36.38 kupitia hii link baada ya kufuatilia maelezo ya muuzaji nikaona hatumi kwenye PO BOX...
Siku hizi wizi wa vifaa vya kuhifadhia kumbumbu muhimu huwa vinaibiwa sana haswa komputa , komputa nyingi tumeshuhudiwa zikiibiwa na wengine wakitangaza katika mtandao kuhusu hizo computer zao au...
Mada yajieleza nahitaji kupima kipande cha ardhi ili nijue kina umbali gani, kinatakiwa kilimwe barabara ya mtaa ili kandarasi asiibe hera nitjuaje umbali wake?
Kumbuka hapapitiki kwamba naweza...
Kwa yeyote mwenye ujuzi juu ya hii app aliyoigundua mtanzania mwenzetu inayoitwa TELBOX TANZANIA kwa ajili ya kuhang taarifa za simu nyingine.
Naomba kufajamishwa kwa wale tulioko nje ya nchi na...
Hapa utapata namna ya kujua...
1.How to Place Facebook Chat On Firefox Sidebar
2.How to Download Facebook Photo Albums
3.How to Share Flickr Photos to Facebook
4.How to Update Facebook without...
Wakuu habari za siku nyingi? Naomba kama kuna mtu anaeuza PC Monitor nzuri kuanzia 23" hadi 27" anijuze. Nipo kwenye project moja ya custom PC Build, parts zote zimefika ila monitor nimeamua...
Amani kwenu wadau..
Wadau nahitaji kufahamu au kujua jinsi ya ku upload video youtube yan kuwa na channel au account yng ambayo ntakuwa naweka videos zangu yan kujisajil pia na vigezo vyake...
Nisaidieni wadau juu ya mada tajwa hapo juu
Nimejaribu kubadili adaptor lakini tatizo bado lipo na haiwaki mpka uchomeke adaptor
Natanguliza shukran kwenu wanajf wote
Habari zenu wakuu! Nimenunua simu aina ya Infinix zero 4 plus. Nimeweka line na kuiwasha cha ajabu nakuta storage status inasomeka 16.56 out of 32 GB, nimedownload apps mbili tu inaniletea alert...
salama wakuu...?
Awali ya yote ningepekenda kujuzwa ni app gani naweza itumia iniwezeshe kusoma vitabu/Document za kiingereza kwa lugha ya kiswahili.
anayejua ni app gani Tafadhali nisaidieni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.