habari zenu wadau wa jukwaa hili
Kama kuna mtu yoyote YUPO MKOA WOWOTE ayefahamu jinsi ya kuweka games katika PS3 OFW 4.81 Tuwasiliane
phone,sms.whatsaap 0684617704
AU INBOX
Ni hivi nimefungua akaunti ya whatsapp ila imenitumia code nimeweka ila inaniambia kuna two step verification na step ya pili inadai PIN na inasema hiyo PIN imetumwa katika email ila nimeingia...
Leo ni siku ambayo azamtv wamezindua app yao ambayo pamoja na taarifa mbalimbali pia utapata fursa yakuona tvonline 7 zikiwemo azam one,azam two,azam hd,zbc2,sinema zetu na nyengine kwangu mie...
Wakuu habari za mapumziko ya Eid.
Simu yangu S 5 inajizima na kujiwasha mara kwa mara hasa pale ninapoiwasha kwa mara ya mwanzo asubuhi kwanza zile apps ambazo ziko kwenye sd card zina grey out...
Habari wadau,
Kama tunavyojua kwa sasa Digital marketing iko juuu linapokuja swala la kutangaza biashara kwani kwa sasa watumiaji wa internet ni wengi kuliko wanaosikiliza Radio+Tv.
Kuna watu...
Sasa unaweza tumia whatsapp kwa PC lakini kutumia bluestacks na yuahave sio offical ndo maana wengi ina wasumbua sasa fanya hivi
-nenda kwenye PC ako downloan google chrome den install .
-nenda...
Kuelekea msimu huu wa biashara
Bei ya azamtv Tsh140,000/= pia utapata na kifurushi cha 28,000 kwa miezi miwili bureee
Dstv 69,000 utapata na kifushi cha 20,000 mwezi mmoja buree pamoja na...
Heshima kwenu wana jamvi. Naomba mwenye taaluma ya jinsi yakutengeneza logo ya kijikampuni changu hapa uwezo wa kununua sina na taaluma ya it sina kabisa naombeni msaada.
Wakuu habari,
Nimejaribu kupita pita huku na huko nikakuta blogs na website kibao ikiwemo humu jamii forum juu ya adsens kuonekana katika content zenye maudhui ya lugha ya kiwahili,mwenye kujua...
Kwa heshima na unyenyekevu mwingi tunapenda kuwataarifu watu wote kuwa tumefungua forum mpya inayohusu maisha halisi ya kitanzania ijulikanayo kama uswahilini.forumotion.com ambayo utaweza kuweka...
Madau asalama leikumh
Wakuu mwenye kufaham jinsi ya kufanya setting Internet ya simu kwa kutumia laini ya Halotel naomba kusaidiwa...natumia simu ya samsung dual.
natanguliza shukulani
Wakuu kama Uzi apo nimehisi kua USB nimebadilishiwa na niliemwazima Maana nimechajia juzi adi asubui nimekuta asilimia 1 nikaamua kuazima charge ya jirani. Nihisi kichwa kibovu. Jioni nimetest...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.