Ashish has discovered an excellent online service to convert PDF documents to plain text for free. The service is PDFTextOnline and allows you to convert PDF documents to text online just by...
Wakuu Nimeshafanikisha kupata verification code na kulink kadi je ni lini paypal watarefund hela yangu waliokata almost Dollar 10 nilijaribu zaidi ya mara tano wakuu hvo kila nilipojaribu walikata
Wakuu, nna vyeti vyangu vmescaniwa katika mfumo wa pichs, ila nataka kuvbadili viwe katika mfumo wa pdf ili nivtume sehemu, na kwa bahati mbaya viko mbali inamaana siwezi kuviscan upya. Nifanyeje...
wakuu
jana na leo nilipata namba za udhibitishio ili kuzitumia kufungua account ya whatsapp wakati mimi sikumbuki kama nilishawahi kutuma maombi ya kujiunga na whatsapp. simu yangu ni techo ambayo...
Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada...
Wakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri...
Wadau nimeshawishika kununua hiki kifaa kwa ajili ya kuweza kuunganisha simu yangu na TV but nimeona ni vyema kuja kuomba msaada wa ushauri na mawazo kwanza kwenu haswa kwa wenye ujuzi nacho na...
Habari wanajamvini... Ni matumaini yangu nyote wazima na tunaendelea na harakati zetu za kujitaftia rizk! Kichwa cha habari kinajieleza, msaada wako tafadhali..
Wadau habari zenu,
Nina computer yangu tatizo nikichomeka waya wa cpu hapo hapo inajiwasha taa ya Orange
Sijui tatizo ni nini naomba ushauri wenu any idea please
Ahsanteni
Brute-force attacks are fairly simple to understand, but difficult to protect against. Encryption is math, and as computers become faster at math, they become faster at trying all the solutions...
Kwa ajili ya elimu tu naomba Msaada wa namna ya kutengeneza majadiliano/ conversation hasa ya whatsapp . kama kuna app au namna yoyote ile ya kufanya hivyo naomba Msaada
NAWASILISHA
Hii in free website kwa wale watu wa IT utaweza jifunza vitu vingi
Website yenyewe inaitwa www.cybrary.it tushirikishane website nyingine kama hizi my fellow great thinkers jumu jf
Nina simu yangu aina ya techno lakn nikinunua earphone znakufa mapema hata kabla ya mwezi so naulza sababu itakuw smu au earphone na kam ni earphone ninunue za aina gan?
Tueleweshane ndugu zangu kuhusu hii kitu aliyozindua raisi leo. Ni kama nimesikia ni kwa ajili ya mfumo wa ukusanyaji kodi, na mitandao ya simu ikonect hapo. Nini exactly plan ya hii project??
Naomben ushauri, nahitaji ninunue simu, ila cna ujuzi sana na cm.
Naomba mnishauri kati ya hizi ipi nichukuwe.
1*tecno C9plus*
2*Samsung s5*
3*Samsung s6*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.