Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Lenovo ideapad S110 Bluetooth WiFi Webcam 4GB Ram 250GB HDD 320000tsh Note: Battery needs replacement. +255659699314 watsapp
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Imei iko sawa kabisa,baseband ila nikipiga simu inaniambia not registered on network,nmejaribu kurpair network ila bado haijakaa mkao, line inasoma na mnara unajaa nmeshabadili modem.bin zaidi ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Naombeni mnisaide kama kuna njia wa kuunga wifi networks 5 kwenye laptop ili niweze kupata speed nzuri.
0 Reactions
3 Replies
907 Views
Yan cm yangu ya promo ya Alcatel zile ndogo za button ..inazingua haiwaki yan nnikicharge pia haingii ....na haiwaki na niliitumia kwa muda ila imeanza kusumbua hivi karibuni...naombeni msaada...
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Habarini wakuu, wikiendi nzima mpaka Leo nimekuwa nikihangaika na project ya kutengeneza portable lab power supply and universal power adapter Katika project yangu hii Nilikuwa nikitumia Dell...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inawezekana ndio unaanza kutumia programu ya WhatsApp au hata pengine ulikua unatumia programu hiyo kwa miaka mingi sasa, lakini pia inawezekana ulikua unakosa kutumia programu hiyo vizuri kwa...
12 Reactions
17 Replies
6K Views
Hii ni Teknologia inayo ziwezesha Computer (Servers) Tofauti kufanya kazi kama computer (Server) Moja. "unlimited number of machines to act as one system" Hosting solution nyengine (shared...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Naombeni msaada wakuu nina printer tajwa kila nikiprint haiprint inaleta error hii"supply memory"lakini pia kuna wakati inatafuta karatasi,shida inaweza kuwa nin wakuu na solutions yake nini...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Habar Wakuu. Ninahitaji msaada wa software ya ku unlock file zilizo kuwa compressed in .rar format na zina paassword. Nimejaribu soaftware nyingi lakini zinahitaji kuwa na full version. Yeyote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajukwaa nataka kusoma python ila material imekuwa ngumu mwenye vitabu please share with me
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Msaada nifanyaje kila nkitaka ku install apps inaandka "parse error" nn tatzo wataalam
0 Reactions
6 Replies
1K Views
CamScanner | Turn your phone and tablet into scanner for intelligent document management.
0 Reactions
1 Replies
734 Views
Habari waungwana na wana JF, napenda kuwa karibisha kwenye group la Whats App Tanzania Tech hapa utaweza kupata msaada wa kiteknolojia kutoka kwa watu mbalimbali ikiwa pamoja na kupata makala...
1 Reactions
0 Replies
671 Views
anaeuza used monitor ya desktop lower resolution.. plz niwekee namba hapa.. au kama unajua mtu anaeuza iyo used electronics mtonye naitaji.. nipo dar es Salaam..
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Sina story nyingi suala langu ni kwamba niko mwanza ninahitaj mtu wa kuinstall php myadmin na apache kwenye laptop yangu mwenye uwezo anicheki 0759212578
0 Reactions
17 Replies
1K Views
,,,,,Yen mpaka nmechoka,,
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini, Nahitaji kufahamu kwa Dar ni eneo gani wanauza no-test pc, yaani computer ambazo ni mtumba na hazijajaribiwa vifaa vyake. Msaada wakuu anayefahamu zinapouzwa jijini Dar.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeandaa Video za namna ya kuunda tovuti. Video hizi ni kwa ajili ya yeyote mwenye kupenda kujifunza, Video hizi ni kwa ajili ya mwanafunzi aliyeko chuoni au hata yule aliye kwisha maliza chuo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeandaa Video za namna ya kuunda tovuti. Video hizi ni kwa ajili ya yeyote mwenye kupenda kujifunza, Video hizi ni kwa ajili ya mwanafunzi aliyeko chuoni au hata yule aliye kwisha maliza chuo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Kile Kirusi bado kinapambana Na Mifumo weak ya IT Kampuni ya Usafirishaji ya British Airway wamelazimika Kufuta safari baada ya Mfumo wa IT kufeli katika Sehemu zote walizopo Duniani.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom