Wakuu wa Tech habari?? Hivi majuzi niliamua kuwa natumia website ya Learners TV kujifunza masomo mbali mbali n.k. tatizo kila nikitaka kufungua Video training yoyote nakutana na error#2035...
jaman naomba msaada wa hali na mali jinsi ya kuanloack moderm ya airtel model E173u-1 ili niweze kutumia katika mitandao yote yaani napata tabu sana naombeni msaada wenu
naomba kujua kuficha namba ya simu kwenye whatsap group ni. prpperty ya simu au whatsap application yenyewe kwenye setting.
kwenye kujua, naomba msaada wako.
asante sana
Hbr wakuu,
Naomba anaejua kutumia built-in satellite ya smart TV anisaidie na mie nifaidi teknolojia hii.
Natumia TV ya LG, hiyo feature IPO ila nashindwa kui set ifanye kazi
Utafiti umefanyika huko marekani na kubaini kua simu za android zina uwezo mzuri kuliko simu za Iphone.
Binafsi bado naamini Iphone ziko overrates tu ila hazina kipya kuliko sim za android.
Soma...
Wadau habari zenu.
Ni kwamba natumia Browser ya Opera katika PC yangu.
Lakini mara kwa mara ninabonyeza ukurasa fulani, Mfano Nipo ukurasa wa jamiiForums, nikijaribu kufungua Thread fulani...
Wakuu Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Nyumbani nimenunua flat TV ya 50" tangu ninunue matumizi ya umeme yameongezeka maradufu yaani unit 5-6 kila siku zimeongezeka kwenye matumizi. Tatizo nini...
Wanadai hii app yao iliyopo google play inaweza kuhack mawasiliano ya mtu. Ila ukisha install wanadai uingize namba unayotaka kufuatilia na kusema wamekamata mawasiliano yake. baada ya hapo...
Habar zenu wana jf,naomben Masaada wa maelekezo namna ya kuboost network coz huku ninakoish mtandao wa internet ni shida kidogo haipatikan hata 3G,lakn nikiwa seburen naipata 3G na inafuction...
ExtraTorrent with all mirrors goes offline.. We permanently erase all data.
Stay away from fake ExtraTorrent websites and clones.
Thx to all ET supporters and torrent community.
ET was a place to...
Jamani Naombeni msaada kwene hili.
Nataka kuscan document ila nataka kitumia ile program wanayotumia watu wa mitandao ya simu kusajili laini ambayo huwa tunasaini kwene screen ya simu.
Kama kuna...
Jaman mim ni kijana mwenye umri furan nimesoma mpaka kidato cha nne nahitaji jikwamua kwa kusomea masuara ya software sabu ya kujkwamua ma mengi na kiuharisia napenda sana masuara ya mitandaon kwa...
nataka kubadilisha processor ya pc yang(dell inspiron 15) kutoka pentium (R) 1.9ghz kwende core i3 2.4ghz nataka kujua vitu gani muhimu vya kuangalia ili niupgrade
habarini za asubui nilikuwa na shida moja ivi siwezi ku convert dynamic ip address nayopewa na isp kuwa static ip? na kama haiwezekani. nawezaje pata static ip address na bei inakuwaje? pia ni...
Katika pitapita zangu google playstore nikakutana na app ya Vodacom
Nikaona ni vyema ni install ili nione kuna kipya gani kipo ndani. Baada ya kudownload na kuinstall nika launch app ili niicheki...
Habari wanajamvi?
Ni katika jiji la St petersburg huko urusi ambapo team ya programmers wa kampuni ya Jetbrains walipojaribu kutumia mapungufu ya Java na kuanzisha programming language ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.