Wajuzi wamambo embu naomba mnieleze ni nini kinaikumba whatsapp siku za hivi karibuni muda huu tena server hazifany kazi na karibu dunia nzima hakuna services ya whatsapp.
Kama sikosei wiki mbili...
Habari wanajamii,
Naomba kwa anaejua program/software ya kuflash na kuformat android mobile na simu zingine anisaidie nimejaribu kugoogle lakini sijaweza kupata maana nikizipata hapa kwenye eneo...
TECNO L9+ MKOMBOZI WA WATANZANIA.
Kampuni ya simu yenye asili ya China, Tecno Mobile imekuja na ufumbuzi wa tatzo la simu janja (smart phone) kutokaa na chaji kwa muda mrefu.
Tecno...
Habari zenu wanajf. Nina shida pc yangu pindi ikiwashwa inanguruma kama processor inapiga kazi afu inakata ghafla (inazima). Na wakati mwingine ikibahatika kuwaka ukiplay movie tu au ukifungua...
"Hottel memo" Alien hoax reappears online after 60 years
It seems like some people will believe almost anything as they continue to pursue the so-called "truth" behind Area 51.
And thats why the...
Poleni na kazi wanajamvi!
Naomba kuulizia kuhusu simu zenye application ya microsoft words, excel n.k
Nimetamani kuwa natumia simu kwenye kufanya kazi za microsoft word wakati ambao siko na...
Mvulana wa umri wa miaka 10 nchini Finland ameshangaza wengi baada ya kugundua
udhaifu katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
Mvulana huyo kwa jina JANI ametunukiwa $10,000 (£7,000) baada ya...
Wadau, poleni na majukumu ya siku. Naombeni msaada jinsi ya kurudisha network kwenye simu yangu P7 huawei nimejaribu setting-search network imegoma. nili factory reset simu ndio likajitokeza hili...
Habari ndugu,naomba kujua km IC namba BT2025 Na TEA ni equivalent?. Mana kuna kisubwoufer nlikuwa narekebsha kina namba BT2025,sasa nimejarbu kutafuta madukan nakuta tu TEA 2025 Na CD2025.kabla...
Wataalam na watundu wa digital Salaaam
Naomba kujuzwa program au Application naweza kuinstall kweny simu hizi za smartphone yenye uwezo wa kuzuia SMS na Calls zote za simu za kawaida.
Kuna baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.