Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Salaam Kamili. Ningeomba kupewa Msaada hasa wakiushauri juu ya Majokofu hasa katika Ubora(uimara)... BAJETI:<Tsh.1,000,000
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Samahani naombeni kujua kama kuna mtu alishawahi kununua application yeyote ile play store; alinunuaje maana kuna application flani ya music nataka kuinunua ni ya Sony ila mimi nilifanikiwa...
0 Reactions
16 Replies
998 Views
wadau habari za mchana. naombeni mnisaidie. nipo na wadau hapa twabishana kuhusu browser nzuri. nimeamua niwafowadie wadau muweze kutusaidia. ipi ni browser nzur na current katika matumizi kati ya...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wataalamu msaada wenu mimi tar 3 mwezi huu niliibiwa tablet nimebahatika kupata IMEI moja tu kati ya Mbili Je hiyo inaweza ikanisaidia kuipata pasipo nyingine ya pili? Nilienda kuripoti police...
0 Reactions
3 Replies
666 Views
Habar zenu wana jf, mm ni mshamba naweza sema hvyo, ninakicmu changu tecno w4 nataka weka font ila kila nikijarbu inagoma inasema inataka root so cjui inakuwaje wanajf naomb msaada jaman
0 Reactions
2 Replies
637 Views
Habari ndugu,simu yangu ilidondoka na kupasuka touch screen mpaka display ya ndani,hivyo natafuta spea na kufahamu gharama zake.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf simu yangu j7 prime leo imeanza na tatizo inajizima na kujiwasha na tatizo lingine nashindwa kuangalia baadhi ya vitu kuna apps inaingilia. Naomba msaada wenu wakuu kipi...
0 Reactions
2 Replies
550 Views
Mr. Rama Esteem from Dar es Salaam, who was just a guest guest at the LG 2017 System Air Conditioning Tech Seminar and the Launch of the new eco-friendly & energy efficient air conditioning...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naombeni kujua ni smartphone gani nzuri naweza kupata kwa shilling laki tatu(300,000) iwe Techno, Huawei,au Samsung mpya lakini
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Samsung ni moja ya makampuni makubwa duniani kwenye uwanja wa teknolojia. Kutengeneza simu zinazotumia Android OS naona kama ni embarasment kwa kampuni kubwa hivi. Sidhani kama watashindwa...
8 Reactions
181 Replies
13K Views
samsung s8 yazinduliwa kwa nchi za africa nchini kenya kwa walio kwisha weka oda mjiandae mkao wa kula
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua jinsi ya kuweka automatik call instagram page yaan mtu akikupigia automatik anapiga namba yako....hope mmenipata
0 Reactions
2 Replies
969 Views
wadau habari za mchana. naombeni mnisaidie. nipo na wadau hapa twabishana kuhusu browser nzuri katika window OS. nimeamua niwafowadie wadau muweze kutusaidia. ipi ni browser nzur na current katika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu nauza iphone 4s nyeupe yenye icloud,bei tsh 60,000/= Nipo Dar. Mawasiliano 0713724242
0 Reactions
14 Replies
985 Views
habari wada u, samahani nauliza kifaa hicho pichani napata wapi hapa DSM na ni shilingi ngapi? Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Habari za asubuhi, Naombeni msaada, Mimi ni Mshamba kiasi flani, tangu nitumie simu /nibadilishe simu nimekuwa nikitumia aina za Tecno, nikianza na P5, nikaja kwa Tecno Phantom min, J7 sasa leo...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Habarini za Jmosi hii tulivu.. Ombi langu ni moja tu..kama kuna mtu anaweza kunielekeza namna ya kupata setup ya Microsoft Office online..au in 'any how" kufix..tatizo langu nitashukuru sana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nmeinstall call of duty black ops nkifungua lnaniambia hivi
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kila ninapozifuta, baada ya siku mbili au tatu hurudi tena. 1. Husababishwa na nini? 2. Namna gani huzuiwa?
1 Reactions
0 Replies
815 Views
Habari wana jf wenzangu? Naomba kujua ni app gani inaweza saidia kupunguza ukubwa wa video ninazorekodi kwenye simu bila kupoteza ubora. Yaani unakuta unarekodi video dakika moja tu ina ukubwa wa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom