Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Niliwahi kuona uzi wa mtu akiulizia kuhusu hili la hizi decoder zinazouzwa mitandaoni kule ebay na aliexpress Nami kutokana na kuchoka kulipia mpaka hizi local channel nikaona isiwe tabu...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Naomba mnijuze jinsi ya kuhamishia app za simu kwenda kwnye google drive
0 Reactions
2 Replies
535 Views
Kuna tatizo tokea kwenye pc baada ya kufuta partition yenye linux kwenye 'disk management' na kuibakisha main OS ambayo windows 10. Sasa kila nikiwasha pc inanipeleka kwenye grub rescue...
0 Reactions
1 Replies
537 Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu ,natakiwa nichague simu moja kati ya hizo 3 sasa ndo niko confused Msaada wenu wakuu wazee tech&gadgets Nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mwenye app ya photo editting kama vile adobe photoshop na zinginezo aniwekee apa
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Nimeinyaka kwa group letu la whatsap nikaona si vibaya tukashare na wana.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina sim aina ya huawei ambayo inatumia lain ya tigo only kuna siku nilipeleka kwa fundi ili nipate huduma ya ku unlock ili itumie mitandao yote! Baada ya fundi uyo kushindwa kuitengeneza imekataa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu samahanini kuna tatizo linatokea kwenye simu yangu kuhusiana na picha ninazo save kwenye Gallery zinaharibika kama kuliwa na virus ivi yaani unaweza kukuta picha inaonekana nusu...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Wakuu hbr za mida, kuna mtu anaomba ushauri wa manunuzi kati ya hizi PC hp probook 6555b Internal storage 230gb RAM 2GB Tsh 180000/= Acer Internal storage 300gb RAM 4GB Tsh 300000/=
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu kwema? Naomba kuelimishwa kidogo. Katika gari unaweza kubadilisha mfumo wa umeme kama betri ilikuwa n50 unaweza kutumia n90 na katika diff au engine unaweza kubadilisha,hat katika computer...
0 Reactions
9 Replies
899 Views
Kama maada inavyosema mie nina simu yangu Huawei ascend G7 ilikua ikionyesha pindi nikidownload sijui niliigusa wapi mpaka sasa haionyeshi tena lakini downloads inafanya kama kawaida tatzo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Nilikuwa ninalo hili folder la picture za baadhi ya simu zilizovuma miaka hiyo. kila nikizitazama ninafarijika na technolojia ya mobile phone ilipotoka hadi ilipofikia. Nashindwa kuzi Upload...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau naomba kuelekeza kwa anaejua ku hide IP adress nmekuwa nkidowloads softewares, series kwenye website za torrents kama Pirates bay, extratorrents ila kwa sasa siwez inanambia n hide Ip...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
What should I do?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habarini.....Wakuu nina TV star X inch 32,nina sabufa Pinetech,nina king'amuzi cha Dstv......sasa nataka niunganishe hivi vitu 3 kwa pamoja means niwe naona kwenye TV kwa king'amuzi changu na...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Nina simu aina ya Tecno H7 Ambayo imepoteza network baada ya software yake kuharibika hata Ku_reset inakataa sasa hv naomba msaada wenu nn cha kufanya
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomben Masaada kwa anayejua simu Sony expiria z5 ubora wake
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Baada ya kufanya utafiti wa kukufanya taarifa za Makampuni nchini, nimeamua kuwaletea orodha ya Makampuni nchini kwa gharama nafuu. Orodha Ina Makampuni 120000 Tanzania. Orodha Ina:- Jina la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, Kwa wenye simu ya Nokia window phones...ni mwezi sasa siwezi kuangalia video iliyipostiwa instagram..maana ikifungua insta then post ikiwa ni video basi simu itajiondoa kwenye insta na...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Msaada wadau. Najaribu kufungua email address yangu lakini nashindwa kwa sababu sina simcard niliyoitumia kuregister kwenye hii email address. Nikisign in, nafika sehem natakiwa kuingiza baadhi ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom