Wakuu naomba maproducer wa audio studio ambao ni Wazoefu wa kutumia cubase programu katika kuedit nyimbo baada ya kurekodia. Please ni procedures /hatua gani unatumia ili wimbo utoke vizuri baada...
Kuna simu ya android Kitkat android version 4.4.2
Nahitaji ku upgrade kwenda kwenye better version.
Nahitaji kuwa na nin?
Madhara au faida nitayo ipata baada ya ku upgrade,
MSAADA TAFADHARI...
Za saa hizi wadau,
natumia Tecno phantom 6 plus, tokea jana simu inagoma kabisa kuconnect na net ila kwenye watsap tu... ila.nikifanya tethering watsap inafanya kazi poa tuu ...
Ila nikiwasha...
Hebu tujjaribu kushare hili jambo. Nimeshawahi kuona picha na maneno mengi mtandaoni yakisema simu inaweza kukulipukia ukiwa unaongea huku ikiwa kwenye chaji. Mimi kwa uelewa wangu naona vitu...
Essuyé mimi nina px Sina ta HP élitebook 6930p...nikiiwasha inaandika hapo nilichokiandika halo juu, na nikijaribu kuiwasha les power button haiwaki had Normie info button ndo inawaka Lakini...
Jamani shida ni hii, nahitaji kutumia WhatsApp ile ya zamani maana hii mpya naiona ipo kinyume. Kwa anayeweza naomba anipe maelekezo wapendwa ili niirudishe ile ya zamani.
Nawasilisha ombi langu...
In 1sec the sun generates more energy than has been used in all of mankind's history.
That's alot of energy. This fact demonstrate the incredible amount of power our sun generates. But just how...
Habari zenu wakuu, nahitaji sana smartphone yenye camera ambayo uwezo wake upo juu hata kutumia katika masuala ya kibiashara kama vile graphic yake na uwezo wa kuhold apps za 3d. Ila kidogo bei...
Wakuu nina huawei G610-U20 inajizima na kujiwasha hovyo nimejaribu kuirestore kawaida imegoma,,nikiwasha kwa kuhold volume down na bottun ya kuwashia ina vibrate tu laikin yale maandishi ya...
Habari,
Wadau leo wapo wafanyakazi ambao kesi/migogoro kati yao na serikali imeshasikilizwa lakini ni zaidi ya miezi mitatu sasa wengi hawapati maamuzi kwa kuzungushwa na hao waamuzi wa tume ya...
Kiukweli hapa nina mzigo wa G'FiVe G10 fashion natafuta firmware yake lakin kulingana na kuwa hautaki kuwa installed ktk pc nikaona sio vyema ngoja niufungue nicheck chip gan unatumia?????
Kila kukisha nasikia hawa wamefanya majaribio ya siraha za Nyulkia na kufanikiwa, sasa hayo majaribio yanafanywaje yaan? au kuna sehemu wanalipua huo kusikokuwa na watu na kuona wamefanikiwa au...
polen na kaz wakuu kuna tecno l8 hapa inazingua... yan niliirestore sasa inapoanza upya,kwenye primary settings pale mwanzo yan kuselect language unachagua vizuri,ikitoka hapo ileta page...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.