Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Niliahidi kutoa mifano ya fursa ambazo Rafiki zangu Developers wanaweza tumia nakuleta impact kwa jamii nahata duniani kiujumla. Fuatilia my previous thread Nilieleza hits muhimu zakujua...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Naomba msaada ndugu zangu ninahitaji kudowload season mpya ya prison break season 5 iliyotoka mwezi huu wa nne, lakini sifahamu naipata vipi naomba mwenye ujuzi wa hili jambo anifahamishe kupitia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Techno C8 haingizi chaji mpk uuzime, inanisumbua maana kuna wkt chaji inaisha mchana inabidi niizime ili niichaji, msaada tafadhali wataalam.
1 Reactions
9 Replies
961 Views
Tunapomsikia mtu akisema Usalama wa mitandao/Matumizi mzuri ya mitandao...tumeshawahi kujiuliza huyu mtu ana lengo na nia gani kwa jamii??....Kwanza kabla mtu yeyote hajaanza kutuhubiria kuhusu...
0 Reactions
6 Replies
890 Views
Naomba programs zinazo tumika ku monitoring health information.
0 Reactions
0 Replies
339 Views
Jamani msaada nna simu yangu imetoka ulaya sema haiingii sim card za tanzania na inataka unlock codes ambayo nimejaribu kugoogle wanaziuza usd 30 msaada jamani kama kuna njia nyingine mnisaidie...
0 Reactions
3 Replies
712 Views
Hii silaha kwakweli ni hatari sana, A Taser is an electroshock weapon sold by Taser International. It uses electrical current to disrupt voluntary control of muscles causing "neuromuscular...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Binafsi nina wasiwasi na kuhusiana na kubanwa kwa uhuru wa social networks. Anyway, itafahamika hapo baadaye.
0 Reactions
1 Replies
572 Views
Wale ambao mlikuwa na shaka juu ya ujio wa nokia na kusema kuwa simu za Nokia chini ya HMD na FOXCON hazitakuwa na roho ya paka kama Nokia za enzi zile nadhani mnapaswa mfute mawazo hayo akilini...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Nina laptop aina ya HP sasa Jana nilipokuwa nataka kuizima bahati mbaya nikabofya button ya restart, Naona baada kumaliza Ku restart button za chini zote hazifanyi kazi.....
0 Reactions
2 Replies
771 Views
Magemu mengi yana staki staki kwenye cm yangu haswa dream league soccer je nifanyaje
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu sijaona, App ya kitanzania angalau yenye 1m downloads. Watu hawana new idea au tatizo ni nini? Dev wengi wanafanya basic websites na kufungua development agency. Kama kuna...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna project nafanya, ningependa kujua makadirio ya idadi ya magari Tanzania 1. Binafsi %? 2. Serikali %? Nimejaribu kufanya hesabu za jumla kwa kutumia number plate za sasa kwa ku-assume kwamba...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wakuu; Ningependa kuelekezwa namna ya kuzigeuza videos kutoka MP4 kwenda AVI. Napenda kuplay video kwny DVD player bt kuna baadhi huwa zinagoma, so help me pliz.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Nataka kujua ni sifa gani nitazingatia,ninapotaka kununua LAPTOP kwa ajili ya GAMES Nataka nijue sifa (Specification) ya laptop kwa ajili ya games...
3 Reactions
24 Replies
7K Views
Wadau habari zenu! Naomba mnisaidie hapa, nikihifadhi (save) video za YouTube offline huwa zinachukua nafasi ya kwenye memory card au internal storage? Au zinakaa hewani kama ilivyo kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wadau..... kuna uzi uliletwa humu JF unaelezea namna ya kusoma sms za simu 5o kwa kutumia gmial... mwenye link ile anisaidie ili niweze kusoma sms za mpenzi wangu coz I think smtn iz...
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Kwanza niwashukuru sana wadau wa JF naweza sema sehemu kubwa ya taaluma yangu nimegain kutoka JF,naweka mezani tena hili nawezaje pata decoder za canal sports na nawezaje kuwa nazilipia?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu na wataalamu wa Teknohama msaada tafadhari. Laptop {Lenovo} lenovo Ilizima ghafla. Chaji inaingia lakini ukiwasha hakuna chochote kinachoendelea. Cha ajabu kuna wakati mara mojamoja sana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom