Habari wanatech,
kwa sasa natumia VPS ya jamaa hawa Aruba ila naona hawako anonymous na napokea warnings na report ya kufungiwa kutumia hii ya server kwa makosa ya copyrights kama torrents bla...
Mimi nimekuwa nikinunua bidhaa kupitia ebay.com, lakini sasa nilitaka kununua kitabu kupitia amazon.in imekuwa ngumu coz wao wanaship bidhaa zao ndani ya India, sasa nilikuwa naomba msaada kama...
kitengo cha DARPA (Defence Advanced Research Projects Agency) kinachohusika na tafiti za kiteknolojia za kiulinzi/kijeshi kimefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kutengeneza risasi ambazo zitaweza...
Kwa anayefaham nawezaj kuroot tecno C9 bila laptop??! Nimejaribu application tofauti tofauti kam vile kingroot,, framaroot lakini zote imeshindikana,,, msaada tafadhali
Habari za Leo ndugu wana jf,poleni na majukumu ya kazi naombeni msaada wenu ni kwamba nilifanikiwa Ku root simu yangu Samsung s3 sasa nikawa na flash ROM nikafanikiwa sasa wakati wa kuflash Gapp...
wakuu Naomba tujuzane kuhusu hii tekinolojia ya usiri.
Wanasema n end to end message sasa vipi tcra Bado wanawakatama watu kwa ajili ya post zao za whatsap
Hamjambo wadau? mwenye ujuzi naomba msaada tafadhali, ninatumia simu aina ya BLU Win510L, simu hii inatumia Windows 8.1 OS, tatizo ni kuwa simu hii iko slow vibaya mno kwenye mtandao natumia line...
Whatsapp kwa nnavyo jua hua ina save data kwenye root files na ina save data backups(msgstore.db.crypt12) kwenye sdcard ya kawaida
Sasa swali langu ni jinsi ya kufungua ( msgstore.db.crypt12 )
Habarini wakuu, naombeni msaada wa hii kitu kwenye iPhone, app ya video na music hazifunguki, kila nikifungua inaniandikia cannot connect to iTunes Store! Nifanye vipi ili nifanikiwe kuplay?
Hivi nikweli kabisa pamoja na kuonyeha na kusaidiana hapa kwa Tech tumeshindwa kufanya kitu kama hiki au.....Hizi zina tengenewa Ghana na shuguli hizi za utengenezaji zinafanyikia kwenye majengo...
Hellow guys,
habari za wakati huu, kwa jina naitwa mussa ni CEO founder wa bluesoft technology inayojihusisha zaidi na shughuli mbalimbali za ki teknolojia ikiwemo
-web hosting
-domains...
Habari zenu wakuu.
naomba kufahamishwa ni wapi ndani ya jiji la dar es salaam nitapata fundi wa uhakika anaeweza kuflash tablet za android hasa chinese tablets.
Asanteni.
Hello there, naomba kujua jinsi ya kuformat na kuweka Android OS nyingine kwenye smart TV. Yangu imekuja na lugha ya kichina na hakuna option ya kubadili lugha. Kwahiyo I need to format the...
Kwa wale wataalamu wa mambo yetu ya GRAPHICS nimefanya installation ya ADOBE PHOTOSHOP both CS5 AND CS6 lakini sioni ile option ya 3D. Nimejaribu kutafuta solution nakakutana na application ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.