Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wandugu laptop yangu hp mini Intel Atom(R)@1.66GHz 1.67GHz ram 2GB tatizo nikiwa naangalia movie ikifika kati sauti inatangulia kabla ya kitendo kufanyika.nimeupdate vlc.media player.gom lakini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
World best motorbike racing game Already, it has been recommended to be the best Why not take a look at them Download some of them And see the reasons why it is called the world best motorbike...
1 Reactions
0 Replies
727 Views
habarini za muda huu...... ndugu zanguni nahitaji msaada wenu, laptop yangu imeleta shida tangu juzi........baada ya kuitumia nilizima kama kawaida......badae kuiwasha, ikawaka lakini screen...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Naomba link ya xposed framework inafanya kazi kwenye 4.4.2 android version simi ni itel 1406.
0 Reactions
0 Replies
599 Views
msaada kwa wale ambao wanaju kuhide internet protocol address katika PC unahitajika wakuu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
How to Recover, track or locate your stolen or lost Android device using Cerberus How to recover, track or locate your stolen or missing Android device Have you loose hope that you can't find...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nataka kutengenezewa App ya android. itakuwa na data ambazo watu watakuwa wanasearch wakihitaji. Ukiwa Mbeya itakuwa rahisi kufanya kazi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
One of the LG K series "K10" has been officially launched in India LG K10 (2017) is now officially launched in India See the Specifications and the Features it come with in tabular reading...
2 Reactions
0 Replies
471 Views
Nahitaji kujua tofauti hapa kuna vifaa vingine vya umeme vimeandikwa mfano220v/ 50wats na kingine 220v /50hz tofauti ya WATS NA HZ Msaada tafadhali
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari.. Kumekuwa na tabia au tatizo la Line za Tigo kushondwa kushika mtandao na hilo tatizo halitatuliki mpaka uende kwenye ofisi za tigo na ufanyiwe swap Mbaya zaidi ndo upo bize na shughuli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingawa Huduma hii ina Faida Kubwa kwa Pale utakapokuwa unaona Mtandao gani unakusumbua unauhama... Ila Changamoto yake naona Ni pale Utakapohama Mtandao Mmoja kwenda Mwingine... Au utakapompigia...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello Wajameni, Kuna kibaka kaniibia Macbook yangu,kama Kuna mtu anaweza kuitrace ikapatikana,basi zawadi nono ipo,watu wa IT wachangamkie ajira hii.Come inbox
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wana jf! Kama kichwa kinavyosema! Je nawezaje kuanza biashara ya web hosting?? Ni vitu gani nitahitaji? Na gharama ni shilingi ngapi?? Je ni options gani ntakua nazo? Nikihitaji kuwa na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Je, umedondosha simu yako kwenye maji au imeingiwa maji?. Usipate tabu, Ukichukua hatua za haraka unaweza ukaiokoa isiharibike. Hatua ya kwanza kabisa itoe kwenye maji haraka iwezekanavyo kwani...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
PC yangu inishut down bado zile indcators za pemben zinawaka kuonyesha kwamba iko on bado Wataalam wa haya mambo naomben msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
725 Views
Wadogo habari zenu wakubwa shikamooni. Mimi ni mwanafunzi wa it naomba mwenye idea yoyote ya information system ambayo haijatrngenezwa nataka ni develop program yoyote kama practical project ya...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Give your Android smartphone the reason why it should be called ANDROID Make your phone more Fancy, Classic and Unique How to change Notification bar colour Have a glance on how to do it How...
1 Reactions
0 Replies
592 Views
Wadau naombeni mwenye uzoefu wa namna ya kufungua, kuendesha na gharama za website anipati. Stay blessed.
1 Reactions
27 Replies
6K Views
(nilkuwa naingia youtube) hiyo screenshort inasema 500 Internal Server error Sorry, something went wrong A team of highly trained monkeys has been dispatched to deal with this situation If you...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamii forums, Hilo ni swali gumu kwa bloggers ambao ndio wanaanza.Unaweza kuuliza na kupata ushauri kwa watu lakini ushauri huo usikusaidie.Leo tuchambue jambo moja tu ,,,kuhusu...
1 Reactions
2 Replies
922 Views
Back
Top Bottom