Wandugu laptop yangu hp mini Intel Atom(R)@1.66GHz 1.67GHz ram 2GB tatizo nikiwa naangalia movie ikifika kati sauti inatangulia kabla ya kitendo kufanyika.nimeupdate vlc.media player.gom lakini...
World best motorbike racing game
Already, it has been recommended to be the best
Why not take a look at them
Download some of them
And see the reasons why it is called the world best motorbike...
habarini za muda huu......
ndugu zanguni nahitaji msaada wenu, laptop yangu imeleta shida tangu juzi........baada ya kuitumia nilizima kama kawaida......badae kuiwasha, ikawaka lakini screen...
How to Recover, track or locate your stolen or lost Android device using Cerberus
How to recover, track or locate your stolen or missing Android device
Have you loose hope that you can't find...
One of the LG K series "K10" has been officially launched in India
LG K10 (2017) is now officially launched in India
See the Specifications and the Features it come with in tabular reading...
Habari..
Kumekuwa na tabia au tatizo la Line za Tigo kushondwa kushika mtandao na hilo tatizo halitatuliki mpaka uende kwenye ofisi za tigo na ufanyiwe swap
Mbaya zaidi ndo upo bize na shughuli...
Ingawa Huduma hii ina Faida Kubwa kwa Pale utakapokuwa unaona Mtandao gani unakusumbua unauhama...
Ila Changamoto yake naona Ni pale Utakapohama Mtandao Mmoja kwenda Mwingine... Au utakapompigia...
Hello Wajameni,
Kuna kibaka kaniibia Macbook yangu,kama Kuna mtu anaweza kuitrace ikapatikana,basi zawadi nono ipo,watu wa IT wachangamkie ajira hii.Come inbox
Habari wana jf!
Kama kichwa kinavyosema! Je nawezaje kuanza biashara ya web hosting?? Ni vitu gani nitahitaji? Na gharama ni shilingi ngapi??
Je ni options gani ntakua nazo? Nikihitaji kuwa na...
Je, umedondosha simu yako
kwenye maji au imeingiwa maji?.
Usipate tabu, Ukichukua hatua za
haraka unaweza ukaiokoa
isiharibike.
Hatua ya kwanza kabisa itoe
kwenye maji haraka iwezekanavyo
kwani...
Wadogo habari zenu wakubwa shikamooni.
Mimi ni mwanafunzi wa it naomba mwenye idea yoyote ya information system ambayo haijatrngenezwa nataka ni develop program yoyote kama practical project ya...
Give your Android smartphone the reason why it should be called ANDROID
Make your phone more Fancy, Classic and Unique
How to change Notification bar colour
Have a glance on how to do it
How...
(nilkuwa naingia youtube) hiyo screenshort inasema
500 Internal Server error
Sorry, something went wrong
A team of highly trained monkeys has been dispatched to deal with this situation
If you...
Habari wana jamii forums,
Hilo ni swali gumu kwa bloggers ambao ndio wanaanza.Unaweza kuuliza na kupata ushauri kwa watu lakini ushauri huo usikusaidie.Leo tuchambue jambo moja tu ,,,kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.