Naomba njia ya kuunlock simu inayotumia mtandao mmoja ,please kwa mwenye maujuzi naomba anisaidie niweze kuunlock simu yangu iweze kutumia laink tofauti tofauti maana hii laini moja naumiza kichwa...
Juzi usiku bana nilinunua nguo ebay kwa wauzaji wawili tofauti mmoja ameshautuma mzigo tokea jana na huyu mwingine mpaka sasa hajatuma mzigo.
Jana nikawasiliana nae vipi mbona mpaka sasa hujatuma...
Nilikuwa nataka kuweka password kwenye baadhi ya folder za computer yangu kama kuna mtu anajua anaweza kunielezea. Nataka niwe nafungua mm peke yangu zisifunguliwe na mwingine.
Habari wakuu, naomba kujuzwa jinsi ya Ku access php projects kwenye Linux ili niweze Ku zi view kwenye browser, nimesha install LAMP, na imeconnect vizuri tu na nimeisha install pia mysql...
Watengenezaji wa simu za Blackberry jana wamezindua simu Mpya itakayofahamika kama
BlackBerry (Mercury) KEYone. Simu za Blackberry zinategenezwa na kampuni ya kichina inayofahamika kama TCL...
Hii snap ya video nilio Tengeneza
Program nilio Tumia ni Sony Vegas
Na plug nilio Tumia sana ni magic bullet 12
Kwa mtaalam wa Mambo haya si mbaya kama tuta peana maujuzi mengine
[emoji120]...
Humorous Quotations
From newsgroup alt.humor:
"Computers in the future may weigh no more than 1.5 tons." --Popular Mechanics, forecasting the relentless march of science, 1949
"I think there is...
Simu yangu toka nimeanza jana kuweka apk kwa simu yangu,inaniandikia unfortunately android phone mara kama umezima data umewasha data zinajizima na baada ya hapo simu inaganda naona inajiwasha...
Nokia stunning back in all diverse
Restoring back the first generation of Nokia 3310
This time around, it is said to be in another platform
The question is
Will it be strong as the first...
Blackberry ni miongoni mwa kampuni ulimwenguni zinazoongoza katika ufumbuzi wa teknologia mbalimbali katika ulimwenguni wa mawasiliano wa kutumia simu za mkononi maarufu hivi sasa kama smatifoni...
Laptop yangu aina ya Lenovo ni mpya na inatumia window 10.Tatizo ni kwamba nikiingia kwenye internet kuna wakati inaleta bar na dots nyeusi juu ya page niliyopo. Bar hizi zinatokea randomly na...
Habari wadau
Simu yangu nokia x2 rumia nadhani ina tatizo au labda ndio ipo hivi inikutavyo tatizo nikwamba
1,Nikiwa napakuwa baadhi ya App unigomea na kudai sijafikia huduma za google duka kifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.