Hizi tovuti kwa Uwelewa wangu huwa zipo tofauti, mfano
Ukiona www.qqqqq.co.tz =maana yake ni domain ya Tanzania (.co.tz) yaani Tz kama Tanzania
Kenya vlevle ni co.ke
Uganda ni co.ug
Japan ni...
Habari za asubuhi wanajamii wenzangu, niko na tekno y3+ ila cha kushangaza naweza kuweka kwenye mfuko was suruali matokeo yake naikuta imejizima, mara ya kwanza nilijua ni betri ila nilibadilisha...
Huwa nikiwa nyumba ninayoishi Arusha nikinunua umeme wa luku wa sh 10,000/= napewa unit 28. Nikiwa nyumbani nilipozaliwa Moshi nikinunua umeme wa elfu 10, napewa unit 82. Sielewi hii huduma ipoje...
Habari wana jf nami nimiongoni mwa wale waliofankiw kuroot sm zao na kubalisha muonekano wa sm yang kama apo mnavoona na kuwa na font za samsung
Sasa kwa wale waliofankiwa naitaj msaada namna ku...
Wengi mtanishangaa lakini nimeona maisha ni watu na watu ni sisi.
Nipo mwaka wa kwanza nachukua degree ya Information Technology kama kuna watu wa group la whatsapp au fb waniadd wadau napenda...
#SayansiNaTeknolojia Kiasi gani cha maji kinaweza kuzima jua?
Kwa kawaida tunafikiri jua ni kama mpira mkubwa wa moto, ambao unatupatia mwanga na joto. Sasa kuna swali moja la ajabu, tukitaka...
Msaada jinsi ya kujiunga na google ili uweze kupost vitu online na ww kujiingizia pesa kupitia hizo content zako mfano nikiweka video za kuchekesha ili mtu akiangalia online nakuwa najiingizia pesa
LG imezindua simu mpya ambayo skrini yake ni kubwa na ambayo inaweza kutumiwa njia tofauti kwa wakati mmoja.
Simu hiyo LG G6 ina mfumo wa 18:9 badala ya mfumo wa 16:9 ambao unatumiwa na simu...
Habari za kwenu wanajamii kama kichwa cha habari kinavyosema unaweze kuongeza speed ya smartphone yako yenye android os kwa kubadilisha baadhi ya settings on the kernel kwakubadilisha frequency ya...
Wakuu naomba msaada tafadhali nina printer yangu ilikua inawaka vizur tu nakufanya kazi vyema tu ghafla ikazima na haifanyi kazi kabisa yaani hata ile ile taa ya power on haionyesh km moto...
Kwanza kabisa nawasalim wote mliomo humu.
Ningependa tujuzane kitu kidogo hapa juu ya ishu ya kutengeneza logo. Nimewahi kusumbuliwa sana na watu wakitaka niwatengenezee logo za biashara zao ila...
wadau baada ya Ku update WhatsApp nimekuta majina yanayonekana ni yale ambayo nimechat nao,majina mengine ya watu wangu kwenye WhatsApp hayaonekani sasa natumia njia gani kuyaona!
Mobile Number Portability (MNP)
Ni Huduma ya kuhamia mtandao mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani (MNP), ina maana kuwa mtumiaji anabaki na namba yake ya awali iwapo ataamua kuhamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.