Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hizi tovuti kwa Uwelewa wangu huwa zipo tofauti, mfano Ukiona www.qqqqq.co.tz =maana yake ni domain ya Tanzania (.co.tz) yaani Tz kama Tanzania Kenya vlevle ni co.ke Uganda ni co.ug Japan ni...
1 Reactions
6 Replies
715 Views
Wakuu king'amuzi changu kimefuta chanels zote za ndani imebakisha al jazeera na cctv.nafanyaje kuzirudisha?
0 Reactions
3 Replies
681 Views
resolved
0 Reactions
7 Replies
939 Views
Habari za asubuhi wanajamii wenzangu, niko na tekno y3+ ila cha kushangaza naweza kuweka kwenye mfuko was suruali matokeo yake naikuta imejizima, mara ya kwanza nilijua ni betri ila nilibadilisha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Huwa nikiwa nyumba ninayoishi Arusha nikinunua umeme wa luku wa sh 10,000/= napewa unit 28. Nikiwa nyumbani nilipozaliwa Moshi nikinunua umeme wa elfu 10, napewa unit 82. Sielewi hii huduma ipoje...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani nilikuwa na factor reset Tecno w4 cos mwenye cm alisahau pattern sasa imewaka ila inaniomba account na mwenye cm hujui account yake please
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana jf nami nimiongoni mwa wale waliofankiw kuroot sm zao na kubalisha muonekano wa sm yang kama apo mnavoona na kuwa na font za samsung Sasa kwa wale waliofankiwa naitaj msaada namna ku...
3 Reactions
45 Replies
6K Views
Msaada :Nahitaji adsense account ,mwenye adsense acount andika namba yako nitakuchek
0 Reactions
3 Replies
622 Views
Wengi mtanishangaa lakini nimeona maisha ni watu na watu ni sisi. Nipo mwaka wa kwanza nachukua degree ya Information Technology kama kuna watu wa group la whatsapp au fb waniadd wadau napenda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
#SayansiNaTeknolojia Kiasi gani cha maji kinaweza kuzima jua? Kwa kawaida tunafikiri jua ni kama mpira mkubwa wa moto, ambao unatupatia mwanga na joto. Sasa kuna swali moja la ajabu, tukitaka...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Msaada jinsi ya kujiunga na google ili uweze kupost vitu online na ww kujiingizia pesa kupitia hizo content zako mfano nikiweka video za kuchekesha ili mtu akiangalia online nakuwa najiingizia pesa
0 Reactions
5 Replies
4K Views
LG imezindua simu mpya ambayo skrini yake ni kubwa na ambayo inaweza kutumiwa njia tofauti kwa wakati mmoja. Simu hiyo LG G6 ina mfumo wa 18:9 badala ya mfumo wa 16:9 ambao unatumiwa na simu...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari za kwenu wanajamii kama kichwa cha habari kinavyosema unaweze kuongeza speed ya smartphone yako yenye android os kwa kubadilisha baadhi ya settings on the kernel kwakubadilisha frequency ya...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Ni betr gn inaweza kuwa bora zaidi kweny umeme wa sola!! Je ni muhimu kuwa na chaja control ati!? Msaada
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada Wataalam Wa Graphics Nina laptop yangu Acer TravelMate P653-M nikisearch graphics Drivers ambazo zipo supported naona latest ni Intel hd 4000 na Nvidia Geforce 640...tatizo linakuja katika...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada tafadhali nina printer yangu ilikua inawaka vizur tu nakufanya kazi vyema tu ghafla ikazima na haifanyi kazi kabisa yaani hata ile ile taa ya power on haionyesh km moto...
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Kwanza kabisa nawasalim wote mliomo humu. Ningependa tujuzane kitu kidogo hapa juu ya ishu ya kutengeneza logo. Nimewahi kusumbuliwa sana na watu wakitaka niwatengenezee logo za biashara zao ila...
2 Reactions
13 Replies
16K Views
Naomba kufundishwa namna ya kuongeza kasi ya simu hasa wakati wa kusachi(android ) tecno Y3.asante
0 Reactions
0 Replies
649 Views
wadau baada ya Ku update WhatsApp nimekuta majina yanayonekana ni yale ambayo nimechat nao,majina mengine ya watu wangu kwenye WhatsApp hayaonekani sasa natumia njia gani kuyaona!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mobile Number Portability (MNP) Ni Huduma ya kuhamia mtandao mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani (MNP), ina maana kuwa mtumiaji anabaki na namba yake ya awali iwapo ataamua kuhamia...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Back
Top Bottom