Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mara nyingi simu yangu app zake huwa zinaandika has stopped eg; Facebook has stopped! Au system has stopped hii imekaaje?
0 Reactions
3 Replies
579 Views
wandugu naomba msaada nilidondosha sm yangu smart phone mm n miongon mwa watu wanaosev majina katika email adress tatizo limekuja sm yangu sikua nimeiweka patern wala password aliyeokota anafanya...
0 Reactions
5 Replies
542 Views
habari wakuu poleni na majukumu ya kila kukicha tafadhali kwa atakayeweza kunisaidia ninauhtaji tafadhali
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu ninatafuta simu yenye 4g, muhimu iwe kwenye condition nzuri. Whatsap 0755566334 ama 0713677312
0 Reactions
6 Replies
1K Views
msaada kama kuna anaefahamu nataka kuroot huawei hii 530
0 Reactions
18 Replies
2K Views
habarini za asubui wana jf.... mimi nlikua naomba msaada wa pc camera software mwenye link ya kudownload anisaidie tafadhali. natumia window 7..LAPTOP NI HP...natanguliza shukrani.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nahitaji msaada wenu Nina laptop yangu aina ya Dell Nilikuwa Naitumia vizuri lakini juzi imeanza tatizo la Kuwa nzito na kuchemka nikiwa naangalia movie inakaa mda Ikiwa Poa baadae inanza...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Ni matumaini yangu kuwa wote mko na afya njema. Nimekua nikiona mitandaoni kuwa kuna baadhi ya watu wamefikishwa mahakamani kwa sababu ya kusambaza kitu kwa njia ya Watsapp , hii ina maana private...
0 Reactions
3 Replies
884 Views
simu yangu tecno w3 inakuwa na kifurushi cha kutosha kabisa lakini msg za whatsapp hazifunguki lakini nukiunganishwa kwa WIFI zinaanza kufunguka. naombeni msaada
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nmepoteza cover ya cd ya windows8 that means nmepoteza pia na code zke za kuniruhusu mm kuweza kuitumia..how can managed to use au kuzipata hizo code zke maana imeishia kati inacommand code ambazo...
0 Reactions
6 Replies
708 Views
Tafadhari Shufu Kichwa cha Habari Hapo Juu, Naomba Kusaidiwa Kupanga Channel Kwa Jinsi Upendavyo Kwenye King'amuzi cha Azam, Mf. Kwenye Madishi Makubwa Nilikua Nimepanga Channel ya Kwanza1. ITV...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Siyo siri, Kwa sifa hizi Nokia atatake over easily katika soko la simu za mkononi, Hususan Africa,Tanzania ikiwemo. TECNO, ITEL & Co wajiangalie na simu zao ambazo ni overpriced huku zikiwa na...
13 Reactions
98 Replies
16K Views
hello waungwana. Nlikuwa naomba msaada wa jinsi ya kuunga cisco IP telephons kwny network.Natumia router ya linksys
0 Reactions
0 Replies
398 Views
jamani nahita nunua simu aina ya samsung naombeni kuuliza samsung ipi nzuri
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Kutoka Kwenye Dvd Player ili display kwenye monitor yenye port ya dvi je inawezekana na km inawezekana nifanyanyeje naomben msaada
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Q
0 Reactions
0 Replies
923 Views
habari zenu wakuu, kwanza natanguliza shukurani kwa msaada ntakaopewa, computer yangu aina ya desktop (HP), pia ina RAM 1GB, WINDOW7, harddisk GB40, nikiistall games zinagoma kuplay sijui tatizo...
2 Reactions
6 Replies
917 Views
Nimenunua Projector(beamer) Nimenunua na HADMI wire kwaajili ya hiyo projector Nimenunua na na kichwa cha HADMI ili niunganishe kwenye Ipod au tablet lengo nicheze move toka tablet...
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Nahitaji Kununua Compyuter Kwaajili ya kufanya Video Editing #Mwanzo Nilinunu HP yenye 4gb Ram, processer Core Duo 3.00Ghz Hdd 500 Gb Nimeweka Adobe After Effect CS6 Inakuwa inastak Sa Cjui...
0 Reactions
2 Replies
657 Views
Wadau ninaomba msaada Mara nyingi ninakuta kwenye simu application moja au mbili hazionekani wakati niliziinstall kutoka play store Ila ukiingia setting,apps unazikuta zipo tatizo ni nini!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom