Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu mwdnye game ya GTA V ya pc aniambie yuko wap nije kuchukua.....
0 Reactions
3 Replies
689 Views
Kwa alie cheza GTA 5 na Tomb raider 2013 kwenye Ps 3 naomba msaada.Mm nikianza kucheza tu tomb raider yule jamaa naekutana nae mwanzo nakunivuta huniua na kuishia hapo hapo ...kwenye GTA 5 mwanzo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PROGRAMMER'S world wide Let's join and share ideas together...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
wakuu hii ipoje yaani kila baada ya kuroot sim hua inakua nzito yaani ukifungua application inakua nzito na haichelewi ina exit ni simu ya tatu hii msaada nifanyeje coz now naona ku root ni ka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa mawazo niña laptop hp 2000 ina freeze mouse na screen ina freeze kila kitu haki respond. Naomba mwenye aliwahi pata tatizo kama hili anaiambie nini shida. Asante
0 Reactions
4 Replies
720 Views
Wakuu nilikuwa na Reset Pc yangu ina wondow 10 sasa nilikuwa na Reset yani ifute data zote ianze upya process imeenda fresh mpaka ikajaa asilimia 100 ikaanza kuinstal window sasa hapo Sikujua kama...
0 Reactions
3 Replies
682 Views
Habari wana JF tafadhali jamani naomben msaada ama maelekezo namna ya kuunda email .ni hayo tu wapendwa.
0 Reactions
3 Replies
15K Views
Wakuu habarini poleni na majukumu..! Nimekutana na Changamoto. Ktk simu ya yangu ya Android ya kutopata notification za whatsapp na baadhi ya Application kama Live score.. Pale ambapo sipo katika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu, natumia simu aina ya tecno Y3+, nahitaji kujua namna ya kuiweka namba blacklist kwa kutumia simu hii, naweza kufanyaje? Ama mtu akiwa ananipigia cm yake ikate tu.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu zangu simu yangu ni TECNO W 4 haipigi vibration hata nikiiweka kwenye vibration
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Baada ya kuroot simu ya huawei kestrel G 535 imeandika neno unfortunately huawei home is stopped na app zingine ila nikitouch OK kwenye zingine neno hilo linatoka ila mwisho linabaki la huawei...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kila nikigusa picha badala ya kufunguka ninaletewa screen ya "send a crash report" Hivyo nashindwa kabisa kuona attachments zote. Naomba msaada wa kuondoa tatizo hili.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Heshima kwenu wataalam wa jukwaa....Nina laptop nimenunua Jana ni HP ...ila inashika sana moto kama techno vile NA pia inavuma sana....pia nimeichunguza haina mlango wa CD ...VP wakuu maana jamaa...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada wenu tangu jana Tv yangu SUMSUNG series 5 haioneshi (Display) chochote. sijui tatizo nini?
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Wakuu msaada unahitajika kama heading inavyosomeka. Habari wakuu, wana Gadgets! Ni simu ya Android version 4.3, napenda niongeze version pamoja na kuongeza ROM. Nimejaribu ku update kawaida...
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Wakuu naombeni msaada wa jinsi gani naweza kurekebisha keyboard ya kwenye PC yangu ili iweze kufanya kazi kama kawaida, aina ya PC ni lenovo na inatumia window 8.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu niko na sim yangu hata kama nimei lock ila, ukiiwasha ipo sehemu ya kupiga picha(camera). Hivi tatizo inakuaje???
0 Reactions
1 Replies
403 Views
Hivi kwanini wanao fanya biashara mitandaoni (ONLINE BUSNESS) za simu unaweza ukauliza simu fulani ipo na ukaambiwa ipo pia anakupigia na picha kabisa ya simu unayo ihitaji cha ajabu ime number...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Back
Top Bottom