Wakuu,
Hapa JF ni chuo kabisaaaa. Nimekuwa sijui A wala B kwenye matumizi ya android phones lkn sasa kuna kitu nshaambulia. Ahsanteni sana.
Naomba sasa kusaidiwa kuhusu kutumia simu yenye laini...
Hello there, naomba msaada. Kuna Tv nimenunua China (Haier) na Android OS yake imekuja ukiwa na lugha ya kichina. Na kwa bahati mbaya hakuna option ya kubadili lugha. Sasa nataka ni-format hii...
Software nyingi zinapatikana kwa aliyekuwa anahitaji zikiwa na genuine product keys na maelekezo yake jinsi ya kuinstall kwenye computer au laptop..
Windows Operating System 7,8 & 10
Mac OS...
huwa napenda kuweka links ila inakuwa tatizo kwangu. inategemea na kompyuta au ni ujuzi tu unatakiwa? kwa mfano unaambiwa bonyeza hapa inakupeleka kwenye site nyingine. ningependa kujua hivyo
Habari wana teknolojia!..Natumai mu wazima.Nilikua natumia simu yangu aina ya samsung galaxy j5 mara ghafla ikapoteza content!.Yaani screen ikawa inaonesha marangi rangi mara weusi,unjano na...
Habari wakuu,
Naomba tupeane maujanja kama kuna trick au apps za kuongeza followers kwenye mtandao wa Instagram.
Nahitaji sana msaada wenu na natanguliza shukrani.
Habari zenu wakuu.
Napenda kutambulisha kwenu uwepo wa app inayoitwa "Appetite" (inapatikana playstore).
App hii inakuwezesha kuandika recipe zako pamoja na kushare hizo recipe. Kwa sasa app ina...
Msaada wadau.. mimi nina simu ya samsung note 4.. sasa recently haifungui picha wala video za instagram wakat netwok iko poa (natumia airtel) na app ipo updated!! App myinginez ziko safi!!
Hili...
Naombeni kunisaidia, hv umeingia dukan kununua simu ya w5 techno, kumbe cmu hyo ilinunuliwa na mtu mwingne ikatumika kwa 3days ukauziwa hyohyo! Je utawezaje kuitambua hyo cmu kama imeshawekewa...
Karibu ni wadau wote wa Ku Design Website kwa kutumia CMS kama WordPress,drupal and joomla tupeane updates
1:Installation na Requirements zake
2:Themes,plugins and widgets updates
3:Jinsi ya...
Kichwa cha habari cha husika.Toka nianze kutumia laptop nimepatwa na hili tatizo mara kwa mara la laptop ku emmit joto la hali ya juu NB:Mazingira yote ya kuhakikisha kunakua na maximum air...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.