Habari wakuu.
Nahitaji hosted Virtual Private Server (VPS) ambayo nitaweza kuunga na remote desktop yangu. Nimecheki mtandaoni zipo huduma nyingi ila ukitaka server yenye RAM ya 1GB au zaidi ada...
Habarini wakuu.
Kuna tatzo nalipata kwenye simu yangu, ni kwamba kuna muda huwa nakua bizy na mambo yangu mengine sasa simu inaniletea notification ya whatsapp inayosema "YOU MAY HAVE NEW...
Samsung waja na iz S7 watia ki builtin apk icho kinaitwa Custom blocker ambacho mtu ukiiba cmu almost una tumia kama kopo asee ki application hichi huizuia cmu kwenda kwenye download mode ,ADB...
Kwa anae jua jinsi ya kusolve hili tatizo nnapo iwasha simu sign ya gia za setting inazunguka mwanzo mwisho nonstop kwenye screen hadi simu inazimika chaji.
anae jua suluhisho la hili tatizo...
Habari wanajf!
Ni wiki 2 sasa acc yangu ya Facebook hai tag! Nimejaribu kutumia ujuzi wangu wote lakini nimeshindwa! Mwenye ujuzi au uelewa na hili tatizo naomba anisaidie!
Msaada kwa wanaojua series za kikorea kali zaid nikimaanisha nzuri zaid ila na pendelea zziwe za mjini zisizo za action au history most na prefer za romance , fantasy, melody and comedy au...
Tsh 390 unapata 1GB
Tsh 890 unapata 2GB
Hope Itakuwa Poa Ila ni Weekend Tu Kuanzia Ijumaa Mpk Jumapili
****UPDATE*****
PIA WAMEKUJA NA FACEBOOK YA BUREEE
Kuna jamaa yangu alikuja kuomba msaada kwangu kuwa ana Simu aina ya tecno y6, katika Simu yake kila akiizima, akija kuiwasha kuna Meseji za 3 za zamani HUWA zinaibuka kana kwamba ametumiwa muda...
Smile wana kazi sasa ya kupambana na tigo & smart kuvuna wateja, kwa kipindi kirefu ama kifupi smile wame enjoy sana monopoly market ila kwa sasa competitors wanaongezeka na bei zinashuka za...
Vipi wakuu
Mimi nipo Arusha napenda kujifunza programming na nipo tayari kusoma lakini nimeona kusoma mwenye inanipa ugumu kidogo kwaiyo wale wenye lengo kama langu na ambao wapo serious na...
Google Assistant is coming to the desktop through Allo.
One of the main drawbacks of Allo has been the lack of a desktop version, but it looks like that's about to change. A tweet from Google's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.