Hellow guyz,
Ninatumain mu wazima wa afya njema katika nchi hii tukufu ya mkuu wa nchi Magufuli.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa, nataka kununua application kutoka appstore na option ya kulipia...
Habari zenu wapendwa?
Naomba kwa wataalamu wa hivi vifaa, maelezo au specification ya hizi computer tafadhali. Nahitaji PC nzuri, naomba msaada wenu plz.
Hello Tech,
Toka mwezi December nimehangaika ku upgrade toka Android marshmallow to Nougat na simu yangu ya huawei P9 lite ila ROM nyingi ni za ulaya na kwengineko nami natumia international...
Habari zenu wakuu,, mwaka kama mmoja uliopita nilikuwa namba nilikuwa naitumia na nilijiunga nayo Whtsp pia, ila bahati mbaya simu ikapotea na nikashindwa kuirenew sabb nilikuwa nje ya nchi je...
Ninaomba kufahamishwa jinsi ya kuroot simu aina ya Tecno C9 maana kwa njia ninazozifahamu na zile ambazo nimewai ona thread zake hapa nimeshindwa kuzitumia hadi nifanikiwe katika hili...
Tujadili kwa niaba ya watu wote wenye mawazo - na +
( Hili ni kosa la udukuzi wa taarifa za kimitandao usijaribu kukutwa )
Tusiwe wavivu au wepesi wa kurahisisha mambo kama mtu haitaji ushike...
Utafiti uliofanywa na tovuti ya Match.com nchini Marekani unaonesha watu utumia hadi vigezo vya simu ambayo mtu anatumia katika kuchagua mpenzi.
Inaonekana watumiaji wa iPhone ndio ‘wanaojisikia’...
How to setup Voice Typing in Android Devices
Just speak out your words and see it typing
Make your typing more easier for you
No stress
No data connection is involve
No third party app is...
Jaman msaada mwenzenu app nzuri ya kuchekia mipira isiyo gandaganda.kwan leo tv yangu imeungua na kuna gemu za uefa.natanguliza shukran kwenu.achana na mobdro app
Wakuu, kuna hizi taarifa za kuhama mtandao bila kubadili namba.
Naomba kuelewesha inakuaje apo.
" Habari kwa Umma, huduma ya kuhama mtandao bila kubadili namba yako itaanza kuanzia tar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.