Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau kama kichwa kinavyojieleza. Nina simu ya samsung s4 GT-I9500 tatizo lake ni hilo. Mnara unaoneka network imejaa lakini ukijari kupiga inatoa majibu kwamba Not register on network. Naomba...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
nawezaje jua friends au kuapata marafika ndani ya fb walio karibu na eneo ninalo ishi
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natumia tecno C9 lakini shida kubwa kwangu haitumi sms yenye maneno mengi,Naomba msaada namna yakuondokana na tatizo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wa kutengeneza website, zile za bure, naomba instructions nijitahidi kutengeneza. Asante
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wakuu.... Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitumia sizi simu japo nimewah tumia android pia Nimekuwa addicted Na hizi windows phone, maana Ni simu ambazo sipo smart kuliko kawaida(...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nauliza namna ya kuhama mtandao kama ilivyotangazwa. Je unahama vipi? Ni nani aliyehama akafanikiwa? Na je MB za mtandao uliohamia ndo utakazotimia kama umebadili Na umeunga MB hizo...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Hello wakuu, nimesahau password za sim yangu, Masaada please
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wanaJF! Naombeni msaada, mwenye logo ya Atv ya Abood Media anitumie hapa kwa kuni PM au public.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wadau!!! samahani nimepiga pasport ambazo zinaitaji ukiprint ziwe kwenye karatasi moja pasport kama 40 hivi sasa inabidi kila moja iwe na namba yake jina, jinsia na sehemu ya kusaini mwenye...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wakuu salaam kuna Kitaa cha kwenye king'amuzi cha azam upande wa kulia kwa Juu pameandikwa LOCK hakiwaki nafikiri ndo tatizo maana king'amuzi hakifanyi kazi. msaada wenu wadau namna ya...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kuna thread hapa nilianzisha kuhusiana na tekno yangu aina ya y3+ kuwa na tatizo la kuzima ovyo pindi ninapoicha bila matumizi, nashukuru wadau waluo wengi walinipa ushauri nzuri. Sambamba na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu, nilikuwa nahitaji IDM iliyokuwa cracked au downloader nyingine yeyote kwa ajili ya ku download clips online. Hapo kabla nilikuwa na IDM sasa imeleta shida, ilikuwa cracked...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za weekend wakuu? Najua mnafuatilia mechi vzuri, ila tusaidiane kuambiana App nzuri ya mobile ambayo inadownload torrents faster, tofaut na utorrent na Bittorrent Asanteni
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa taarifa za uakika kabisa ni kuwa kazi ya kuunganisha vituo vyote vya dart kwa mfumo wa computer alipewa vodacom( ???? ). Kilichotokea kila msafiri wa dart anajua jinsi risiti zinavogoma...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jaman naomben links/websites zinazo onesha onlive tv channel za Tanzania maana npo nje ya nchi so namiss habar na matukio ya nyumban. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Naomba TCRA kama walivyokuja na wazo la kuhama mtandao bila kubadili namba, pia wafikirie na kuhama king'amuzi bila kubadili kadi wala dishi!
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujua kama kushirikiana kimatangazo na Google kupitia Google Adsense kama kuna faida au la? Naomba kuwakilisha. AMANI IWE NASI....
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni mnijuze wadau, Ni APP ipi inayoweza kutumika kutunzia kumbukumbu za biashara, yaani daily sales kwenye computer?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom