Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Free Computer, Programming, Mathematics, Technical Books, Lecture Notes and Tutorials
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wakuu Mimi ni mwanafunzi wa uhandisi umeme... Katika harakati za kujifunza nje ya darasa nilikua natamani kujifunza kuprogram PLC.. Shida inakuja pale ninapotaka kudownload software kwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
... Contribute anything you know about this tech
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Jamani msaada nina external yangu GB 160 lakini nikiiwekea mzigo mkubwa unakuwa nzito na nikitaka ku play hata video ina load mpaka kesho ila nikiweka mzigo wa GB ndogo Kama GB 10 ndio inakubali...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hizi simu mm nimezitumia sana Kwa mfano kama tecno lg htc. unakuta zinajitahidi kupiga sana camera zikiwa mpya lakini siku zinapo zidi kwenda mbele lile jicho ndio linazidi kufifia hata kama kama...
6 Reactions
169 Replies
25K Views
Habari za Usiku wadau wa jukwaa hili? Na Tatizo moja kama kichwa cha thread kinavyojieleza. Nimedondosha simu yangu kwenye maji Nokia C1. nimeifungua na kusafisha maji yote ila sijaiwasha! Je...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wote tunaijua programu ya VLC kuwa ni programu ya kuangalia video na kusikiliza audio, lakini ukweli ni kuwa programu hii inauwezo wa kufanya mambo mengi zaidi ya vile tunavyodhani. Kama...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nokia wamezindua kwa mara nyingine tena nokia 3310 katika muonekano uliokuwa bora zaidi.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana jamii forum, naomba kujua mwenyekufahamu bei ya simu sumsung galax j7 nataka kununua lkn bado nawaza nichukue ipi sasa mimi nimependa hiyo ila sijajua bei.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wataalamu wa hizi mambo msaada tafadhali.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ya weekend nimetengeneza playlist ya web development kwa html waweza zicheki na kutoa ushauri wako. Samahani niliweka link amabayo ilikuwa haifanyi kazi ila sasa iko poa bonyeza hapa WEB...
1 Reactions
6 Replies
808 Views
Nimekutana na picha hii nikajikuta najiuliza kwa sababu mimi sina ufahamu na vifaa hivyo lakini pia camera nyingi ninazoziona hazipo hivyo, je, hiyo ni aina gani ya camera na mbona ina makorokocho...
3 Reactions
59 Replies
15K Views
Hivi swala la kuagiza mzigo kama Tv kupitia fedex kuna haja ya kuwa na agent sijui ili utoe mzigo au tin number na kadharika, mimi nimekuwa nikitumia posta sasa safari hii nimeagiza mzigo tv ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukuaji wa teknolojia unazalisha stori mpya kila siku ila leo huenda ukashtuka; unajua simu yako inaweza kukwambia siku yako ya kufa? ‘Macabre iPhone App’ ni application ambayo unaweza kuiweka...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, Nilikuwa naulizia kuhusu huu mtandao wa Paypal hapa Tanzania. Kwa mfano nikiwa nafanya kazi mtandaoni, Then nikachagua njia ya malipo ya Paypal, Je hiyo hela nita-Receive ila...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, ninatumia Ubuntu 16.04 nilikua natumia hii Ubuntu Ku run php files, ila kwa Sasa Niki log in Kama root kwenye phpmyadmin napata hii error kwenye screenshot. Kabla ya tatizo niliikua...
0 Reactions
8 Replies
882 Views
Naombeni utofauti wa prgamm hizo mbili ktk matumizi. Naamini kuna watu wengi humu wamekwishazitumia.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakubwa naomba msaada juu ya Experience hapa. Nachanganyikiwa kwenye kufanya maamuzi which one to buy Kati ya HP Spectre na Lenovo ThinkPad L440. Nafaham durability ya Thinkpad. Lkn cna experience...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana bodi amani iwe kwenu, Nimenunua Samsung s 7 edge dukani ndani ya box, ukiiwasha inatoa neno 3 Three.co.uk lakini kuna rafiki yangu yake akiwasha inatoa neno Samsung. Sasa nawaomba...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Back
Top Bottom